Hawa wasanii wetu wanawezaje ku share wanawake?

Hawa wasanii wetu wanawezaje ku share wanawake?

Na ndio nilichokua namaanisha,just imagime ile pisi ya Manara,mwanetu Dulla Makabila kala sana,mpaka "kipira" ...halafu leo mzungu anakuja eti anaoa..
Mi nkikutana na demu hua naassume ndo nimeanzia pale mambo ya ma-ex sina muda nayo kbs, na pia siwezi date na mdada naejua historia yake ya mahusiano
 
Wema Sipetu, Gigy Money, Masha Love na mwezi mchanga wengine wote ni wanawake wa walevi tu, ukimuona mtu analea mimba za watu hao ujue huyo anaweza hata akajivesha bomu ajilipue. We unawezaje kuingia uvunguni mwa hao watu bila viatu?
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Mkuu
Wasanii wetu wengi wa kiume, wana tatizo la kutokuwa wanaume timilifu.

Hivyo hata hao mabinti hawaoni luwa wamepoteza chochote wanapohama hama kingono.
 
hata kama wa kwako ulimkuta bikra elewa kuwa una share na wengine. hakuna papa ya peke yako halafu haina makombo ile.
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Ni ushamba wako tu.
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Kuna daraja fulani la maisha ukilifikia au ukabahatika kuingizwa kwenye daraja hilo bila kulielewa kisawasawa utajikuta ukifanya ngono hovyo, ukiamini daraja hilo wapobhivyo, kumbe hujawaelewa, miko na matambiko yao. Soma;

 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Wanatest ukimwi live
 
Wanasema mbunye haina makombo wala kipolo.Wakisafisha kwa maji hutoa sauti...mpyaaa...mpyaaaa...mpyaaaaaa...!
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabis

Na ndio nilichokua namaanisha,just imagime ile pisi ya Manara,mwanetu Dulla Makabila kala sana,mpaka "kipira" ...halafu leo mzungu anakuja eti anaoa..
"Kipira" ni nini mkuu? Mshuza2
 
Wee jamaa hamna mbususu yako peke yako siku hizi ni mwendo wakishare.

Alafu wee u akuwaje na mwanamke ambaye wengine wanaume hawamtamani na kumgegeda? Mwanamme wa hivyo hana ladha.

Raha ya mwanamke mkae kitandani aanze kukupa story aisee byy yule mzabzab ana kibamia ila anajua kutomberrr. Leo kanipa style ya popo kanyea mbingu...e u ngoja nikuonyeshe
Da! We mtu wewe
 
Back
Top Bottom