Hawa wasanii wetu wanawezaje ku share wanawake?

Hawa wasanii wetu wanawezaje ku share wanawake?

Wema Sipetu, Gigy Money, Masha Love na mwezi mchanga wengine wote ni wanawake wa walevi tu, ukimuona mtu analea mimba za watu hao ujue huyo anaweza hata akajivesha bomu ajilipue. We unawezaje kuingia uvunguni mwa hao watu bila viatu?
Wema mtu yyt ulikuwa unajipigia tu
Gig ndy usiseme biashara pale mziki zuga tu

Ova
 
kwenye endorsement YES umeshinda, je nani aliepotea kwa hao wachache niliowataja hapo according to your mtazamo??
Mtu akishapata jina awezi kupotea kiasi asijulikane tena, What i said ni kwenye business kutokana na kukosa scandals za kuongelewa kila wakati, Kwa mfano ukimzungumzia Diamond kwanini anatoka na Zuchu? Kwa akili ndogo unaweza kudhani ni hisia zimempeleka pale lakini kama jamaa angekuwa ampelekwa na hisia basi ungekuta washaachana kitambo ila kwa kuwa ni part ya kujikuza ki-business hivyo kila mmoja anajua afanye nini... In case huelewi nini naongelea basi tuishie hapo maana hata hivyo sio kila mtu anapaswa kujua.
 
Mtu akishapata jina awezi kupotea kiasi asijulikane tena, What i said ni kwenye business kutokana na kukosa scandals za kuongelewa kila wakati, Kwa mfano ukimzungumzia Diamond kwanini anatoka na Zuchu? Kwa akili ndogo unaweza kudhani ni hisia zimempeleka pale lakini kama jamaa angekuwa ampelekwa na hisia basi ungekuta washaachana kitambo ila kwa kuwa ni part ya kujikuza ki-business hivyo kila mmoja anajua afanye nini... In case huelewi nini naongelea basi tuishie hapo maana hata hivyo sio kila mtu anapaswa kujua.
tuishie tu kwakweli, kuwa na partner ambae ni staa sio kila kitu kwa msanii
 
Wema mtu yyt ulikuwa unajipigia tu
Gig ndy usiseme biashara pale mziki zuga tu

Ova

Na hata biashara yenyewe wanauzia jina tu na umaarufu, lakini Dar kuna pisi kali na bei poa tu.
 
Wema Sepetu tangu enzi za magazeti ya shigongo ,enzi za tv na sasa mitandao na smartphones ,maceleb aliotembea nao wanafika hata 20 achana na wale wasiojulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii wa Bongo ukisikia amekuga tu ndio amini. Zingine ukisikia ni drama tu
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Jibu hilo hapo ..
Case closed
 
Mi mwenyewe najiulizaga nikachukue star niweke ndani tena star mwenyewe kisu,simu zinazoingia zinatokea dubenga malabu na Brunei si ntakufa Kwa pr3sha?Kuna za ndani nataka nizithibitishe kwanza kuwa wasanii mademu wa bongo movie wakienda china au Dubai zinaenda uzwa pussy tena in dolla$.Naskia Kuna tifu lilitokea Kwa msanii mmoja tozi wa bongo fleva aliyevuta njoo tu kae na mbongo muvi mmoja choklate kala,kisa kusikia manzi kafanya sajare Ili aanze rasmi kwenda uza intaneshno,basi dogo kajifanya kukaza kibesi ila manzi ndiye anayemweka town atafanya nn you know.!Wanajiita wapenzi ila msela anajua manzi akienda uchina kaenda uza pussy in $.Mimi sio mbea ila nayoskia mazito.
 
Hata mkeo kwa wengine ni Malaya TU.
Uzuri hazina makombo
 
Muangalie mtu kama Marioo,pamoja na umaarufu alionao angeweza kupata mwanamke mzuri tu popote,lakini ilikuaje akaangukia kwa yule binti? Tena nasikia anataka kuoa kabisa..

Mifano ni mingi,unakuta kuna slay queen anajulika kabisa analiwa na fulani lakini ghafla mwingine naye anabeba hawana kinyaa? Lile gonjwa vipi labda ni ushamba wangu.

Nijuzeni wakuu wanawezaje?
Watu karibia wote wanashare sema kwa vile huyo unamjua.
Ambao hawashei ni wale waliopata bikra tu tofauti na hapo umeshare kikojoleo na mtu
 
Hata kama,lakini ni bora usijue..
Kujua au kutojua haimaniishi hauchangii na mtu.
Ukikuta siyo bikra ujue kuna mwamba alianza hapo
Chakula kimepikwa chooni, aliyekula anajua kimepikwa chooni na ambaye amekula hajui wote ni sawa tu.
 
Kujua au kutojua haimaniishi hauchangii na mtu.
Ukikuta siyo bikra ujue kuna mwamba alianza hapo
Chakula kimepikwa chooni, aliyekula anajua kimepikwa chooni na ambaye amekula hajui wote ni sawa tu.
Aisee
 
Billnass alijua fika kuwa Nandy anatoka na ruge ila bado aliweza kuvumilia mpaka ruge amekufa akamuoa Nandy.

kama ruge asingekufa Billnass asingemuoa Nandy
 
Back
Top Bottom