Hawa Watangazaji wa East Africa Radio wanajua sana

Hawa Watangazaji wa East Africa Radio wanajua sana

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
54,943
Napenda sana kusikiliza East Africa Radio (EA radio) Super Mix, Kipenga Extra na East Africa Drive (Ndinga mpya Town). Vipindi hivi vitatu huwa nikipata muda navisikiliza maana watangazaji wanaoendsha vipindi hivi vyote wanajua sana kile wanachofanya.

Kwangu mimi naona Watangazaji wa Ndinga mpya Town ni wabunifu na wacheshi sana wawapo kwenye kipindi hakika wanatoa burudani sana sio katika habari bali hata kwenye mazungumzo yao (David Rwenyagira na Ian Dialo).

Zamani Jahazi la Clouds Fm lilikuwa na Kombinesheni nzuri sana ila tangu nimeanza kusikiliza David na Ian hakika nimejikuta napenda sana Kipini chao. Pia mziki wanaocheza katika kipi chao ni wa kipekee sana (Playlist).

Hongera sana David Rwenyagira na Ian Dialo (Buda).
images(10).jpg
 
Napenda sana kusikiliza East Africa Radio (EA radio) Super Mix, Kipenga Extra na East Africa Drive (Dinga mpya Town). Vipindi hivi vitatu huwa nikipata muda navisikiliza maana watangazaji wanaoendsha vipindi hivi vyote wanajua sana kile wanachofanya.

Kwangu mimi naona Watangazaji wa Dinga mpya Town ni wabunifu na wacheshi sana wawapo kwenye kipindi hakika wanatoa burudani sana sio katika habari bali hata kwenye mazungumzo yao (David Rwenyagira na Ian Dialo).

Zamani Jahazi la Clouds Fm lilikuwa na Kombinesheni nzuri sana ila tangu nimeanza kusikiliza David na Ian hakika nimejikuta napenda sana Kipini chao. Pia mziki wanaocheza katika kipi chao ni wa kipekee sana (Playlist).

Hongera sana David Rwenyagira na Ian Dialo (Buda). View attachment 789395

Ni kweli naunga mkonyo hoja
 
Kipindi cha Asubuhi East Africa Radio hakijapata watu wazuri wakufanya kazi na shabani Lupa.


Yule scola angetafuta kazi nyngne au akae ktk production hajaweza ndinga hajaweza asubuhi.
 
Napenda sana kusikiliza East Africa Radio (EA radio) Super Mix, Kipenga Extra na East Africa Drive (Ndinga mpya Town). Vipindi hivi vitatu huwa nikipata muda navisikiliza maana watangazaji wanaoendsha vipindi hivi vyote wanajua sana kile wanachofanya.

Kwangu mimi naona Watangazaji wa Ndinga mpya Town ni wabunifu na wacheshi sana wawapo kwenye kipindi hakika wanatoa burudani sana sio katika habari bali hata kwenye mazungumzo yao (David Rwenyagira na Ian Dialo).

Zamani Jahazi la Clouds Fm lilikuwa na Kombinesheni nzuri sana ila tangu nimeanza kusikiliza David na Ian hakika nimejikuta napenda sana Kipini chao. Pia mziki wanaocheza katika kipi chao ni wa kipekee sana (Playlist).

Hongera sana David Rwenyagira na Ian Dialo (Buda). View attachment 789395
ni kweli asee hawa jamaa wa east africa (EA radio) ni wazur sana pia wabunifu kinoma mm naongezea apo Ea Breakfast planet bongo ila frida amani sio kabisa
 
Kipindi cha Asubuhi East Africa Radio hakijapata watu wazuri wakufanya kazi na shabani Lupa.


Yule scola angetafuta kazi nyngne au akae ktk production hajaweza ndinga hajaweza asubuhi.
Kweli asubuhi ile ni bora liende hakuna ubunifu ni kelele tu.
 
ni kweli asee hawa jamaa wa east africa (EA radio) ni wazur sana pia wabunifu kinoma mm naongezea apo Ea Breakfast planet bongo ila frida amani sio kabisa
Kumbe wanakosha wengi.
 
Hawa jamaa wapo vizuri aisee..wanafuata maadili pia,sio clouds jahazi unamsikia gadna anataja maneno ya ajabu ajabu yasio na staha..
Gardner ANATUKANA SANA na anataka kuwazoesha watu waone ni kawaida. Mara sijui kujamba mashuzi mbwambwambwa nk. Mhhh kweli mmempatia
 
Mbona sisi wengine ni walevi ila sio watangazaji/maripota?......but all in all mtu kama marato itakuwa anakunywa komoni na ulanzi kwa sana..sio kwa utaahira ule
.
Signature yake hiyo mkuu ukisikia popote pale hata kama uko usingizini unajua ni Marato anaunguruma.
 
Gardner ANATUKANA SANA na anataka kuwazoesha watu waone ni kawaida. Mara sijui kujamba mashuzi mbwambwambwa nk. Mhhh kweli mmempatia
Kama ushuzi anapenda sana kilitamka..mara anasema"jamaa huyo alikuwa chakari nusu kujinyea"..unaona kabisa ni jinsi gani huyu jamaa alivyo
 
Halafu matangazo yamezidi clouds Mimi nshahama hadi January Makamba aliwaambia live wamezid matangazo ilikuwa kina Babra ,wakaishia kumwambia ndio mishahara zenyewe Sasa hv wanaboa sana matangazo kiasi unasahau walikuwa wanaongea nn
 
Halafu matangazo yamezidi clouds Mimi nshahama hadi January Makamba aliwaambia live wamezid matangazo ilikuwa kina Babra ,wakaishia kumwambia ndio mishahara zenyewe Sasa hv wanaboa sana matangazo kiasi unasahau walikuwa wanaongea nn
Mbona saivi matangazo yamepungua??,..vyuma
 
Back
Top Bottom