Hawa Watangazaji wa East Africa Radio wanajua sana

Tusimsahau
Mbona umemsahau djaro Wa rungu,au kwa sababu unakulaga mboko nini mkuu?
 
Lutengano Ahonga popote ulipo Salam zikufikie!
 
Wenzenu wa Mikoani hatuijui hiyo EA Radio,labda tukikaribia na Mjini kwenu.Hivi Zembwela bado yupo SuperMix...? Kuna kipindi nilikiwa Mjini namsikiliza mpaka nikapenda Ideas/contents za kile kipindi
 
Wenzenu wa Mikoani hatuijui hiyo EA Radio,labda tukikaribia na Mjini kwenu.Hivi Zembwela bado yupo SuperMix...? Kuna kipindi nilikiwa Mjini namsikiliza mpaka nikapenda Ideas/contents za kile kipindi
East africa ipo mikoani pia
 
East africa ipo mikoani pia
Mikoa ya Kanda ya Magharibi,Sijawahi kuisikia labda utumie Decoder ya Azam.Mimi nikiwa Kanda ya Kati na Mashariki ndiyo huwa naipata
 
Kipindi cha Asubuhi East Africa Radio hakijapata watu wazuri wakufanya kazi na shabani Lupa.


Yule scola angetafuta kazi nyngne au akae ktk production hajaweza ndinga hajaweza asubuhi.

Huyo Lupa anaboa sana kwenye magazeti kila headline anataka aitolee maelezo ambayo hayana kichwa wala miguu yaani ni kilele kujichekesha na kupoteza muda sawa sawa na Musa wa efm akisoma kitenge naye huongeza porojo zisizo na maana. Jirekebisheni.
 
Kipindi cha Asubuhi East Africa Radio hakijapata watu wazuri wakufanya kazi na shabani Lupa.


Yule scola angetafuta kazi nyngne au akae ktk production hajaweza ndinga hajaweza asubuhi.
Kweli watu tunatofautiana sana. Mimi namhusudu sana huyu binti. Kombinenga lao na Shaaban Lupa in nomaa. EA radio on fireee.
 
Kipindi cha Asubuhi East Africa Radio hakijapata watu wazuri wakufanya kazi na shabani Lupa.


Yule scola angetafuta kazi nyngne au akae ktk production hajaweza ndinga hajaweza asubuhi.
Mbona Shabani Lupa na huyo Scola siku hizi hawasikiki hapo East Africa Radio?
 
Hivi unaskiliza Power breakfast wewe ya Babra Hassan,Masoud Kipanya,Fredwaa na Ciza?au XXL ya Twangala,Kenedy,Mami na AD+??...Na log off coz Team nanii wakija hapa sio watu wazuri kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…