Hawa watoto wa kike ambao wanapewa mimba na kuzalia kwao ndo wanakuza umasikini katika familia

Hawa watoto wa kike ambao wanapewa mimba na kuzalia kwao ndo wanakuza umasikini katika familia

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Tafsiri ya umasikini ni laana. Yaani nimeangalia Familiya za kibongo watoto wa kike ndo wanaleta umasikini yaani mtu anazalia kwao bila hata Aibu

Yaani wazazi wamekulea Kwa shida bado unashindwa kuolewa unaishia kuzalia kwenu huku baba wa mtoto hachangii chochote

Unazaa mtoto then hujui nani atamtunza na kumuhudumia

Mtu anasema mtoto atamsaidia baadae ni upuuzi wewe umeshindwa kutoboa Sasa huyo mtoto wako hatatoboa vipi???
 
Hili swala la kukimbia mimba mimi kwakweli kila siku nitaendelea kuwalaumu wanawake japo wanaume tunakosea sana

We mwanamke ndio mwenye mwili wako we ndio mbebaji unaruhusu vipi kuzaa na mtu haelewiki hata dalili huoni achana na kueleweka hata kama anaeleweka unaruhusu vipi kubeba mimba kabla ya kuolewa

Hujui siku zako? ,p2 madukani hamna ? Kama jamaa hataki kutumia kinga goma au beba wewe kwenye pochi akisema hana mpe
 
Tafsiri ya umasikini ni laana
Yaani nimeangalia Familiya za kibongo watoto wa kike ndo wanaleta umasikini yaani mtu anazalia kwao bila hata Aibu

Yaani wazazi wamekulea Kwa shida bado unashindwa kuolewa unaishia kuzalia kwenu huku baba wa mtoto hachangii chochote

Unazaa mtoto then hujui nani atamtunza na kumuhudumia

Mtu anasema mtoto atamsaidia baadae ni upuuzi wewe umeshindwa kutoboa Sasa huyo mtoto wako hatatoboa vipi???
Kwani hizo mimba wanajipa wenyewe? Jitahidi ku-balance uzi wako ni wakitoto sanaa
 
Tafsiri ya umasikini ni laana
Yaani nimeangalia Familiya za kibongo watoto wa kike ndo wanaleta umasikini yaani mtu anazalia kwao bila hata Aibu

Yaani wazazi wamekulea Kwa shida bado unashindwa kuolewa unaishia kuzalia kwenu huku baba wa mtoto hachangii chochote

Unazaa mtoto then hujui nani atamtunza na kumuhudumia

Mtu anasema mtoto atamsaidia baadae ni upuuzi wewe umeshindwa kutoboa Sasa huyo mtoto wako hatatoboa vipi???
Vijana wanaokimbia mimba ndio janga la kitaifa kabisa, vijana was siku hizi hawako tayari kuyakabili majukumu halafu Bado wanataka waheshimike na kutambulika kama wanaume.

Wanataka utelezi tu waseleleke bure bure, binti akishapewa mimba kimbilio linabaki kwao, halafu kuwa wengine wanatoa hoja ya eti mahari ifutwe Kwa vijana hawa wasio jielewa
 
Hili swala la kukimbia mimba mimi kwakweli kila siku nitaendelea kuwalaumu wanawake japo wanaume tunakosea sana

We mwanamke ndio mwenye mwili wako we ndio mbebaji unaruhusu vipi kuzaa na mtu haelewiki hata dalili huoni achana na kueleweka hata kama anaeleweka unaruhusu vipi kubeba mimba kabla ya kuolewa

Hujui siku zako? ,p2 madukani hamna ? Kama jamaa hataki kutumia kinga goma au beba wewe kwenye pochi akisema hana mpe
Wanawake wanaangalia pesa na gari wanaamini wakibeba mimba mwanaume hashindwi kuhudumia mtoto.
 
Kwa hiyo mnataka hizo mimba ziwe zinatolewa au, maana kuna mda kondomu zinapasuka na p2 mda mwingine hazifanyi kazi
 
Mwisho wa siku dada anakuchukia wewe na mkeo na watoto wako kisa utoi msada kwa watoto wake yani umaskini zambi sana
 
Halafu watoto wa uswahilini ndio wanapataga hilo tatizo sanaa
 
Kwa hiyo mnataka hizo mimba ziwe zinatolewa au, maana kuna mda kondomu zinapasuka na p2 mda mwingine hazifanyi kazi
Hiyo kitu kutokea huwa ni nadra mkuu.

Mleta uzi analia na wale wabeba mimba kipuuzi puuzi achana na hizo za bahati mbaya.

Kuna wengine wanajua fika wako siku za hatari lakini hawacontrol hisia zao.
Mwisho wa siku anakwambia ile siku ilikua siku ya hatari na alikua anajua fika kabisa kua anaweza beba mimba.
Na bahati mbaya wanaume wengi elimu ya uzazi ni changamoto mno, tubawategemea hao hao wanawake tena .
 
Back
Top Bottom