Hawa watu wa Reception Lodge muwe mnawapima akili. Wengine ni Wendawazimu

Hawa watu wa Reception Lodge muwe mnawapima akili. Wengine ni Wendawazimu

Inaelekea uko na content nyingi ila huzipresent🤣🤣🤣
Kuna siku niko pisi moja kali sana, nimeenda nayo chimbo moja la kishua sana. Ile nafika tu resepsheni, muhudumu kaanza kuniwashia moto, bora umejileta mwenyewe, wewe si ndio ulichafua mashuka siku ile.

Leo utalipa gharama za mashuka mapya. Kwa kweli mimi ndio ilikuwa mara ya kwanza kwenda chimbo, kwa kweli nilifedheheshwa mno
 
Kuna siku niko pisi moja kali sana, nimeenda nayo chimbo moja la kishua sana. Ile nafika tu resepsheni, muhudumu kaanza kuniwashia moto, bora umejileta mwenyewe, wewe si ndio ulichafua mashuka siku ile.

Leo utalipa gharama za mashuka mapya. Kwa kweli mimi ndio ilikuwa mara ya kwanza kwenda chimbo, kwa kweli nilifedheheshwa mno
🤣🤣🤣 Uliubeba msalaba alosema ataubeba harmonize
 
Back
Top Bottom