BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hata bungeni wenye mdomo mrefu ndio huogopwa ,Kibajaji,musukuma gwajima wote wawili,sanga siku hizi hawashikiki japo majimboni wako hoi1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Ila hawana heshima na hayo mafanikio yao yanakuzwa kuliko uhalisia ulivyo1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Mandonga mtu kazi1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Truly saidOnly in Tz!
Juma lokole1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
yani wewe mkuu ndo umeongea point. Hapo labda mandonga na gari zake mbili . naamini watu watakuwa wanapiga sana pesa kupitia huyu jamaa kwa wakati huu. Hao wengine sidhani.Ila hawana heshima na hayo mafanikio yao yanakuzwa kuliko uhalisia ulivyo
1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Kwa Ivo hao wooote wamefanikiwa kutokana na definition yako?1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Hyu mbwa adi ana range ya jina lakeJuma lokole
Lumumba anaongeaga pumba tu yule jamaaHao sio wanajua kuongea, wanajua kupiga kelele au kuongea kwa makelele. Wanaojua kuongea ni Kama kina Prof. PLO Lumumba na wengine wenye Logic
Majimboni kuwa hoi sio kosa lao maana ni ngumu kutumia mishahara yao kujenga mabarabara na mshule ,na wala hawakusanyi kodiHata bungeni wenye mdomo mrefu ndio huogopwa ,Kibajaji,musukuma gwajima wote wawili,sanga siku hizi hawashikiki japo majimboni wako hoi
Zamani kulikuwa na sugu,msigwa,kafulila,sugu, ana kilango,mkosamali lisu walikuwa na kelele nyingi ila majimboni wako hoi wabongo tunapenda maneno maneno tu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri Mwijaku na hao wenzake wataendelea kutoboa kwa makelele yao hata miaka 10 ijayo1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere
Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.