Hawa watu wameprove kuwa mdomo ni zaidi ya academic certificates

Hawa watu wameprove kuwa mdomo ni zaidi ya academic certificates

Hii nafikiri inatokea Tanzania tu, ambapo mjinga ndio anaweza kusikilizwa na jamii na hata kuaminisha watu ni mwerevu...

MJINGA NI MJINGA TU...
Tanzania ndio nchi ambayo ufala unapenda na kushabikiwa. Angalia hata miziki ya bongo fleva ni ushetani mtu lakini ndio unaoshabikiwa na kuchezwa kila mahali.

Yani Tanzania ukiwa mwehu mwehu ndio watu wanapenda.
 
Hata bungeni wenye mdomo mrefu ndio huogopwa ,Kibajaji,musukuma gwajima wote wawili,sanga siku hizi hawashikiki japo majimboni wako hoi

Zamani kulikuwa na sugu,msigwa,kafulila,sugu, ana kilango,mkosamali lisu walikuwa na kelele nyingi ila majimboni wako hoi wabongo tunapenda maneno maneno tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawalaumu wao! Kwani wao ndio wanakusanya kodi na kupanga zitumike vipi!?

Cha ajabu Kikwete kawa Rais miaka 10, Chalinze wanatafuta maji huku maji hayo yakipita Kuelekea Dsm.
 
Hao ni watu walioamua kujizima Data na kutumia mdomo tu,kujua kuongea na kupiga makelele ni vitu viwili tofauti kabisa,only in Tz,mbele hao wangeonekana ni hamnazo tu.
 
Basi inabidi kuwe na degree ya kupiga domo!
Tanzania wapiga domo wanapewa nafasi kubwa hasi kwenye siasa.
 
Unawalaumu wao! Kwani wao ndio wanakusanya kodi na kupanga zitumike vipi!?

Cha ajabu Kikwete kawa Rais miaka 10, Chalinze wanatafuta maji huku maji hayo yakipita Kuelekea Dsm.
-tatizo ni muundo wa serikali, tungekuwa na muundo wa serikali za Mikoa/majimbo yenye Mamlaka kamili, ingesaidia kwa kiwango Fulani.
 
Bottom line, Tundu Lissu ni effective communicator, kasome qualities of effective communicator
 
1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere

Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Sijui Mandonga na Baba Levo lakini hao wengine mbona wana elimu zao tu
 
Hata humu JF wapiga domo wapo na thd zao zisizo na kichwa wala miguu,na unakuta thd zao ndio zina wachangaji wengi kuliko thd zingine,So hili ni tatizo la kijamii na sio individual.
 
Unafikiri Mwijaku na hao wenzake wataendelea kutoboa kwa makelele yao hata miaka 10 ijayo

Hao wanatakiwa nafasi wanazopata sasa hivi wazitumie vizuri hasa kufanya uwekezaji

Gamba muda wowote linakutoa kimaisha
Kutegemea Gamba kutoka kimaisha ni kufeli Gamba liko limited na muda kuna umri ukishafika unakuwa unatoka kwenye mfumo wa ajira ndipo maujanja yako(personal skills) zitakazokuweka mjini
 
Kuna gape kubwa baina ya kujua kuongea na kupiga kelele.
Hao uliowataja nawaweka kwenye kundi la wapiga kelele.
Lakini kelele zao zimewafanya waweze kuishi mjini na sio kuishi tu bali kuishi maisha ambayo ni matamanio ya vijana wengi
 
Lakini kelele zao zimewafanya waweze kuishi mjini na sio kuishi tu bali kuishi maisha ambayo ni matamanio ya vijana wengi
Sawa But jamii inafaidika nini kupitia wao? vijana wanajifundisha nini kupitia hao watu? kuna impact gani itakayojengeka hasa kwa hawa vijana wanaowafuatilia hao "Machawa?"
 
1. Haji Manara
2. Mch. Rich Bilionea
3. Mwijaku
4. Baba levo
5. Mandonga
6. Steve Nyerere

Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya kati na vikuu.
Acha mbwembwe,graduates hatuna ga mbambamba!!hatuongei kama chiriku,tunaacha matokeo ya kazi zetu zionekane,
Kasome kuhusu,magiratech,Smart Africa group,horizon co ltd,uone graduate wanavyofanya maajabu,hizo ni kampuni za vijana,Zina fedha kuriko hata huyo Diamond wenu
 
Back
Top Bottom