The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
hehehehe!
yaani jamani huku kinondoni huku dah!jamaa wanajitahidi sana kukisokota kiasi kwamba ukiiiii:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
ni kama vile upo lanchi breakpoint
Kama wewe ni mwanaume, First Lady mwondoe kabisa kwenye list yako na usithubutu kumtaja tena. Watu wataku-pm sasa hivi halafu mkwara utakaoupata patakuwa hapatoshi. Hata hivyo usiwajali sana hawana lolote yeye mwenyewe keshawatangazia ukumbi mzima kwamba ni mke wa mtu, na kweli atakuwa hadanganyi sababu anaonekana ni mshauri mzuri sana hasa kwenye maswala ya migogoro ya wanandoa!
Hii imekaaje??nanakuomba itizame vizuri uniambie umeona nini!!Mpendwa Kakakiiza kwa heshima na taadhima ningefurahi sana kama ungebadilisha Avata yako
Natanguliza shukrani
wako mtiifu
FL
yalikukuta kaka?
1.sio lazima uelewe kila kitu mkuu,mambo mengine yanaanzia mbali kwenye pmyaani hapa nina uhakika kabisa sielewi mnachoongelea.....
Ni part and parcel kwasababu kuna wanachama hapa wanajihusisha na kilimo:becky::becky: lakini sasa :focus: umepata take away yako uliyoaagiza
hehehehe!
yaani jamani huku kinondoni huku dah!jamaa wanajitahidi sana kukisokota kiasi kwamba ukiiiii:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
ni kama vile upo lanchi breakpoint
UngeRIP chama kingepata pigo kubwa sana. Smiles angechukua nafasi yako...anaelekea anaimudu sana!Teamo/Finest/Bigirita/Kaizer/Asprin etc.....mmeshwahi kukutana na Infii ana:A S-smoking: .... nilikaribia ku:rip:
Ongea nao...Hivi nikitaka kumpiga Smiles au Beauty ban la mwezi mmoja natakiwa nifanyeje?
najua bible ndogo na kubwa hazina tofauti, tofauti ni umbo tu, nimekupata Mkuu!!Usiogope size na stimu ni kama ile ndogo mnayopiga
upinzani huwa hatutoi wala kupewa BAN tafadhali,ni maombi tu!Hivi nikitaka kumpiga Smiles au Beauty ban la mwezi mmoja natakiwa nifanyeje?
Hivi nikitaka kumpiga Smiles au Beauty ban la mwezi mmoja natakiwa nifanyeje?
Teamo/Finest/Bigirita/Kaizer/Asprin etc.....mmeshwahi kukutana na Infii ana:A S-smoking: .... nilikaribia ku:rip:
UngeRIP chama kingepata pigo kubwa sana. Smiles angechukua nafasi yako...anaelekea anaimudu sana!
Jamani kuna mtu kanionea Danity humu ndani? Mkimwona mwambieni Big Brother ODM anamtafuta eti........ nataka afanye.:decision: kwenye jambo flani hivi kwa maslahi ya chama na wanachama kwa ujumla!
Hivi nikitaka kumpiga Smiles au Beauty ban la mwezi mmoja natakiwa nifanyeje?
Hii imekaaje??nanakuomba itizame vizuri uniambie umeona nini!!
Dah Kaka maisha yako yalikuwa mikononi mwake sipati picha kwenye knockout phase ila najua kati ya BEAUTY NA SMILES mmojawapo ange cover nafasi yako sababu hawa ni wataalamu wa kupiga HOTBOX wao huwa wanapiga wakiwa kwenye gari huku vioo vyote vimepandishwa bila hata ya kuwasha AC