Hawa watu wananivutia sana

Naomba kuuliza hivi SMILES na BEAUTY ni mapacha na hapa JAMII FORUMS?
 
Hapa sijui unamaanisha nini kiongozi.....? :confused2::confused2:

Tukikutana utaelewa zaidi akchuale huwa napenda zaidi kufanya praktiko ili twende sawa nitakufanyia praktiko
 

E=mcsquared mwenzangu kuna lililokukuta ambalo sijaling'amua :couch2:
 
Nyamayao habari za asubuhi:doh::doh: samahani habari za mchana unajua huku kinondoni hii:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:sijui wamenichanganyia na mashudu ya nini

haaa yaani umenikumbusha njoro vibaya sana...kwema kipenzi.
 


Karibu mwaya tuko busy na kampeni sasa nadhani tutasaidiana kumpata kiongozi mwadilifu .
 
E=mcsquared mwenzangu kuna lililokukuta ambalo sijaling'amua :couch2:

akitaja jina FL anapewa kizunguzungu kwa lazima...lol, yani kuna visa humu ndani jamani...na atakuwa ni Asprin tu huyo.
 
Tukikutana utaelewa zaidi akchuale huwa napenda zaidi kufanya praktiko ili twende sawa nitakufanyia praktiko

No.....akchuale>>>utajielezea kwanza before any further action!! :mad2:
 
Karibu Danity! Hivi umeelewa nini kinajadiliwa? Nyamayao mueleweshe pls..
 
haaa yaani umenikumbusha njoro vibaya sana...kwema kipenzi.

Kwema niko kinondoni na Teamo tuna:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:ila ndugu yangu Teamo nahisi watamuibia wallet maana hali yake imeishaanza kubadilika
 
Daah jamani watu waonevu humu ndani..Danity naona unajiaonea mwenyewe!
 
akitaja jina FL anapewa kizunguzungu kwa lazima...lol, yani kuna visa humu ndani jamani...na atakuwa ni Asprin tu huyo.

hahahahaha yaani Nyamayao kijana kaniacha hoi kaongea kwa upole jamani
Kama si Asprin basi atakuwa Teamo huyu na si bure watakuwa tayari walikuwa pombe tu na ngoma za alaji alaji ziko kichwani
 
Vipi ulikuwa unaivuta kwa mtindo upi? Naona ndio maana huko upstairs kwako hakujakaa sawa!



ukimaanisha mie mentor? wote mie na wewe tumetumia sana hii kitu ndio mana kila mmoja wetu anamuona mwenzie hamnazo, ucjifanye umesahau kjjn.
 
Kwema niko kinondoni na Teamo tuna:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:ila ndugu yangu Teamo nahisi watamuibia wallet maana hali yake imeishaanza kubadilika

Kwani sigara inalewesha ?
 
hahahahaha yaani Nyamayao kijana kaniacha hoi kaongea kwa upole jamani
Kama si Asprin basi atakuwa Teamo huyu na si bure watakuwa tayari walikuwa pombe tu na ngoma za alaji alaji ziko kichwani

Vipi, ameshakuPM nimshukie?

ukimaanisha mie mentor? wote mie na wewe tumetumia sana hii kitu ndio mana kila mmoja wetu anamuona mwenzie hamnazo, ucjifanye umesahau kjjn.

Nani asahau machalari na mbege? Ote nayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…