Hawa watu wananivutia sana

Hawa watu wananivutia sana

Unataka kutafsiri kuwa bacha na bht wana do the needful? hebu kapige pafu moja la bange huko!!!
hehehehehe! mpwa muelekeze nyamayangu aje hapa BLOCK 41 niko na watu wazima KIKOSI tunaaaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:

...maisha yanyewe yahakuwa mafupi haya!hehehehehe
 
There are currently 35 users browsing this thread. (12 members and 23 guests)

Bacha nakuona hapa...Say something. Naona jana watu walikuvalia njuga, usihofu hii ndio JF. Na hiki kifaa kipya Danity, naomba usikiingilie! Nshakamata kontakti zake:A S 13::A S 13::A S 13:

At looooooong last! bht ndani ya nyumba! Hujambo mshikiz? Ulikuwa umeolewa wapi ukaachika mara?

Haya bana ngoja niseme sasa Aspirin, zimebaki siku 22 kabla ya kinyanganyiro cha kupiga kura

Nawasilisha!
 
Teamo/Finest/Bigirita/Kaizer/Asprin etc.....mmeshwahi kukutana na Infii ana:A S-smoking: .... nilikaribia ku:rip:
Mkuu hapo ulitakiwa kutumia formula ya kimasai...........kaa kimya usijiguse.......kwani mm nananii wewe au wewe na nanihii mimi?
 
Mkuu hapo ulitakiwa kutumia formula ya kimasai...........kaa kimya usijiguse.......kwani mm nananii wewe au wewe na nanihii mimi?

Akisha :A S-smoking: hasikii kabisa....
Natafuta wa kutekeleza rule 3....
 
Niko tayari ku-apply rule 3 kwa huyu infii anae:A S-smoking:.....kuna mhitaji?
kwa sababu TEAMO ndo yupo block 41 sasa hivi, hebu do ze needful......moto kwa moto.... mpe contact fasta.
 
Kwan uki-do the needfull na bht kuna ugomvi hapo? Si inakua raha mustarehe?
Hivi bht yuko wapi aje athibitishe/akanushe hili? Mamushka wangu hawezi megwa hivihivi bila ridhaa ya big braza ODM!
 
kwa sababu TEAMO ndo yupo block 41 sasa hivi, hebu do ze needful......moto kwa moto.... mpe contact fasta.
heheheh! mkuu nashukuru sana kwa kuliona hili!
NIFANYIENI MKAKATI WA KONTAKTI aje hapa BLOCK 41 aiwashe :A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking: yake then tuanzishe mwendo
 
Hivi bht yuko wapi aje athibitishe/akanushe hili? Mamushka wangu hawezi megwa hivihivi bila ridhaa ya big braza ODM!

Asprin, unakumbuka ule mchezo wa watoto wa miaka ya nyuma uleeeeee... unaitwa ''kula mbakishie baba''?
 
Back
Top Bottom