Hawa watu wananivutia sana

Halafu na wewe kwa kuniharibia hivi?

kwanini lakini umeamua kufanya hivyo? c uache kila mtu ajaribu bahati yake?..kwanza kasema FL ameolewa, kwanini unatumia mabavu yako kumsumbua mke wa mwanaume mwenizo?na kuwafanya wengine wawe na hofu hata ya kumsalimie FL, nakuripoti kwa mod kwa niaba ya mlalamikaji....:shut-mouth:
 

Kama unampenda utamlinda! Na wewe kama kuna mtu anakuletea za kuleta, usisahau kuniPM nikusaidie kumnyoosha? Sawa dada chizi wangu?
 
Kama unampenda utamlinda! Na wewe kama kuna mtu anakuletea za kuleta, usisahau kuniPM nikusaidie kumnyoosha? Sawa dada chizi wangu?

sasa naona unawinda wengine, beauty na smiles....shikaga moja nawe.
 

Hapo katika red!!ili sector zote zihamasike!!
 
There are currently 35 users browsing this thread. (12 members and 23 guests)

Bacha nakuona hapa...Say something. Naona jana watu walikuvalia njuga, usihofu hii ndio JF. Na hiki kifaa kipya Danity, naomba usikiingilie! Nshakamata kontakti zake:A S 13::A S 13::A S 13:

At looooooong last! bht ndani ya nyumba! Hujambo mshikiz? Ulikuwa umeolewa wapi ukaachika mara?
 
UngeRIP chama kingepata pigo kubwa sana. Smiles angechukua nafasi yako...anaelekea anaimudu sana!

Niko tayari ku-apply rule 3 kwa huyu infii anae:A S-smoking:.....kuna mhitaji?
 
Naona wengi kwenye hiyo orodha ni wanachama wa infidelity.
 
Naona wengi kwenye hiyo orodha ni wanachama wa infidelity.

We mbona huji kuchukua risiti yako? Masahihisho kidogo, siyo wengi...ni WOTE. Tupigieni makofi tafadhali!
 
NAWAPASULIA
View Profile View Forum Posts Private Message View Articles Add as Contact

Junior Member


--------------------------------------------------------------------------------

Join Date:Tue Oct 2010
Posts:6
Thanks:0
Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power:0


na hawa wanaboa
malaria sugu
tandale one
lukolo
endelezeni....................
 

ndio kusema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…