Hawa watu wananivutia sana


Bora uwaambie mwenyekiti.....
 
hata smimi umenivutia sana... umechagua kilicho chema, ungekuja na mumsifia MS hapa sijui ingekuaje
 


cku hizi ndivyo unavyoniita hivyo, au mapenzi ndio yameisha tena.
 
cku hizi ndivyo unavyoniita hivyo, au mapenzi ndio yameisha tena.
kama ni mapeenzi haaaani BASI YAMEKWISHA ZAMAAAAAAAAAAAAANIIIIIIIIIIIIIII!
:llama::llama::llama:
 
Kwa hiyo mmekonkludi nini sasa? Kwamba Danity ndio bht au bacha?
 
cku hizi ndivyo unavyoniita hivyo, au mapenzi ndio yameisha tena.

nimepaniki kidogo Mrs Luv wangu Nyamayao kipenzi, haya hebu niambie kuna nini kati ta bacha na bht na St Roya Roy?:tonguez::A S-rose:
 
nimepaniki kidogo Mrs Luv wangu Nyamayao kipenzi, haya hebu niambie kuna nini kati ta bacha na bht na St Roya Roy?:tonguez::A S-rose:

nikisema Roy atanichapa.....
 
:llama::tonguez::hand::A S 13::decision::smow::blah::moony::A S 112:😛reggers:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…