Hawa wavuvi T/Rollers wakishinda leo....Labda siyo Mimi.

Hawa wavuvi T/Rollers wakishinda leo....Labda siyo Mimi.

Leta matokeo yako[emoji1787][emoji1787]
tapatalk_1565451153953.jpeg
 
Kama nauona vile uzembe wa viongozi wetu wa timu na benchi la ufundi kushindwa kuwalipa madeni yao, wachezaji walioibeba timu msimu uliopita kama Kelvin Yondani na Juma Abdul, na pia kushindwa kumuongezea mkataba Gadiel Michael; Mapengo yao yako wazi kabisa.
 
Heeeh...leo nipo jukwaa hili la michezo. Nimeona...Yanga leo wanashinda. Tena kwa bao nyingi tu. Hongeren sana wanayanga.

Kama T/Roller leo wakishinda...natoa offer ya mtu kunipiga piga na kimto cha kulalia mgongoni mpaka nife.

Yanga tufurahieni ushindi wa Bao 3 kwa Nunge 0 upo.
Yanga akishinda leo basi ni kushinda Njaa tu.
 
Heeeh...leo nipo jukwaa hili la michezo. Nimeona...Yanga leo wanashinda. Tena kwa bao nyingi tu. Hongeren sana wanayanga.

Kama T/Roller leo wakishinda...natoa offer ya mtu kunipiga piga na kimto cha kulalia mgongoni mpaka nife.

Yanga tufurahieni ushindi wa Bao 3 kwa Nunge 0 upo.
Maisha yanaendaje hapo jangwani?
 
😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀🐸🐸🐸😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Shadeeya hali yako muda huu?
Sijambo kabisaaaaa. 🙈
Mbeleko unaizungumziaje maana imekua kama dawa ya pressure kwako😃😃😃
Yaani nilitamani unione saa ya ile penalti mana nilikuwa kama Banka kwani nilifumba macho nisione kinachotokea. 😀😀😀😀
Halafu kuna mdau alisema hata uwanja hamtaujaza na ndio kilichotokea
Muda mbovu ule Ses.
Sasa hebu tupe matarajio yako kwenye mechi ya marudiano
I think we will do the best. (nimeonyesha msisitizo) 😅😅😅
 
Sijambo kabisaaaaa. 🙈
Yaani nilitamani unione saa ya ile penalti mana nilikuwa kama Banka kwani nilifumba macho nisione kinachotokea. 😀😀😀😀
Muda mbovu ule Ses.

I think we will do the best. (nimeonyesha msisitizo) 😅😅😅
Pole sana maana wale watoto Rollers hawana adabu kabisa😃😃😃

Hawaogopi wananchi wala hawajali kama wapo ugenini. Tena bahati yenu tu kuwa walijitoa ufahamu wakavaa jezi rangi ya njano. Wangevaa rangi ya bahati, rangi ya kifalme, rangi ya mabingwa, rangi nyekundu au nyeupe wangewapakata hadi goli nne

Ni vizuri lakini kua na ndoto za kufanya vizuri mechi ya marudiano, mkiamka usingizini mnajikuta mnacheza ligi ya mchangani ya hapa bongo😃😃😃
 
Pole sana maana wale watoto Rollers hawana adabu kabisa😃😃😃

Hawaogopi wananchi wala hawajali kama wapo ugenini. Tena bahati yenu tu kuwa walijitoa ufahamu wakavaa jezi rangi ya njano. Wangevaa rangi ya bahati, rangi ya kifalme, rangi ya mabingwa, rangi nyekundu au nyeupe wangewapakata hadi goli nne

Ni vizuri lakini kua na ndoto za kufanya vizuri mechi ya marudiano, mkiamka usingizini mnajikuta mnacheza ligi ya mchangani ya hapa bongo😃😃😃
Walituwahi tu na kama uliangalia Second half natumai uliona mpira tuliowachezea.

Bado nasisitiza nafasi tunayo.
 
Walituwahi tu na kama uliangalia Second half natumai uliona mpira tuliowachezea.

Bado nasisitiza nafasi tunayo.
Wazanzibari walikua na msemo wao "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala", ni hilo unalolisema hapa ujue😃😃😃
 
Back
Top Bottom