Pre GE2025 Hawa wazee wanaondoka hivi, 2030 patachimbika

Pre GE2025 Hawa wazee wanaondoka hivi, 2030 patachimbika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,508
Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.

Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.

Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.

NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.
 
2030 mbali Sana bwashee

We hukuwaona Chadema wanavyovimba kule Mbeya na Arusha

Kizazi asilia chenye sura za kutisha ndio kinaishia
 
Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.

Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.

Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.

NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.
Bado yule mkuu wa wema ambaye afi mzoga wake tutautupa jalalani maana siku si nyingi naye anakwenda ma maji ...
 
Watanzamia tumejiongoza wenyewe kwa miaka mingi tangu Mwalimu alipong'atuka 1985.

Hata wakiondoka wote hawa wazee ni sawa tu. Watanzania ni kama mtoto yatima, kula na kuvaa kwa shida, matibabu pa kulala ni shida, ila kudeka ama kulialia hakupo kwani matatizo tushayazoea. Kwa mfano umeme hakuna, sukari haipatikani watu kimyaaa.

Cha kushukuru siku zinasonga.
 
Miaka ijayo mbele kuanzia 2035 hii nchi inaweza kuwa na either mapinduzi ya kijeshi au vikosi vya uasi, WAKUBWA WA DUNIA WANATULIA TU TIMING MAANA WANAZIFANYA HIZI STUDY.
 
Miaka ijayo mbele kuanzia 2035 hii nchi inaweza kuwa na either mapinduzi ya kijeshi au vikosi vya uasi, WAKUBWA WA DUNIA WANATULIA TU TIMING MAANA WANAZIFANYA HIZI STUDY.
Hilo haliwezekani na haliji kutokea mkuu...misingi iliyowekwa kwa hii nchi ni mikubwa sana ....hizo purukushani za 2030 tu lakin baada ya hapo utaona mambo shwari kabisa maana wengi hawataweza tena purukushani za 2040 maana huo utakuwa wakati wa Gen Z kusumbua Taifa.
 
Hilo haliwezekani na haliji kutokea mkuu...misingi iliyowekwa kwa hii nchi ni mikubwa sana ....hizo purukushani za 2030 tu lakin baada ya hapo utaona mambo shwari kabisa maana wengi hawataweza tena purukushani za 2040 maana huo utakuwa wakati wa Gen Z kusumbua Taifa.
Vikundi vya uasi kwa bongo sio rahisi, labda viwe vya raia wa kigeni mfn: Rwanda, Kongo au Somalia
 
Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.

Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.

Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.

NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.

Kwli kabisa umeona mbali ... I can imagine. Patachimbika, tena kweli kweli.

Yaani hapo lazima January, Mwigulu, Bashite, Tulia, Riz1, Nape, Polepole, Chalamila, Kigwa ...... wapambane.

Dawa ni katiba mpya ili ije kusawazisha hali ya hewa.
 
Back
Top Bottom