Hawa: Wimbo wa 'Nitarejea' wa Diamond nauchukia sana, Umeniharibia maisha yangu

Anaitwa mwana hawa
Vumilia tu dada maaana
Hakuna namna
 
Huu udhalilishaji wa hali ya juu.
Hivi kweli tumekuwa watu wa hovyo kiasi hiki?
Mkuu mimi nimesikitika sana,,kumsitiri binadamu mwenzetu haihitaji elimu wala imani,,namlaumu sana aliepiga hii picha,,haifurahishi wala kudraw positive attention..Ila in any action there is an equal and opposite reaction..."what goes around will come around""
 
Mimi niliona hata Mkuu wa mkoa flani anapigwa picha akiwa anasali kwa huzuni ya nafsi yake watu wakampiga picha..Nikajiuliza mtu anapata wapi mda wa kupiga picha katikati ya ibada??? Alienda kusali au kuangalia watu?? Hivi huwa tunaamini MUNGU anajumuika kwenye ibada.?? Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya jinai ya namna hio??
 
Anatafutwa mchawi kwa nguvu zote
 
Dimondi mlipe dada hawa mkwanja wake,ungemlipa hela hiyo asingebabaika na wanaume mpaka wamempa mimba,mlipe fedha zake za kolabo,ni kama Nelly na Kelly Dillema ule wimbo wote wanafaidika ila wewe unafaidika peke yako tu.
Mbona zari ana hela na mimba kapewa na wanaume [emoji3]
 
Pole Hawa! Mungu ni mwema atakuponya.
 
Kwa sisi wabongo tunachukulia kupewa msaada kama kitu cha lazima...
Hapo sasa yani eti kisa mtu alikushirikisha basi eti ni lazima akusaidie kwani ni lazima.
Mtu kutoa msaada haijalishi ana pesa kama Floyd ni uamuzi wake wala haina haja ya kumlaumu maana wakati anazisaka hakuna aliye msaidia.
 
Watanzania mnapenda vya dezo
..shauri zenu mtapum******
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…