Hawaamini macho yao

Sio Leo lakini maana hicho amekaa nacho mwaka mmoja ama miwili hivi
Akipandishwa tu huyu mama wa Samia Suluhu, nae anakula u brigedi jenerali.. nahisi amekaa nacho kama miaka mitatu. Maana yule hakukaa nae sana
 
Tena washukuru,maana kama Huyo bonge jukumu lake anatakiwa afe kabla ya JPM iwapo ingetokea shambulio lolote.
Ukitazama walinzi wa JPM wengi walikuwa wana miili nyumba. Mijitu hiyoo tazama vizuri utaelewa kwanini waliamua iwe hivyo. Huyo Jamaa bonge huo mwili ni kwa kazi maalumu kama hujui
 
Kwani wachina wamefanyeje
Hivi mkuu hadi sasa hujui kuwa covid19 ni mtaji?
1. Mashine za kupimia
2. Sanitizer
3. Barakoa

A. JPM alisema vinatoa majibu ya uongo na kweli tulishuhudia mataifa mengine yakifanya uchunguzi na kukiri
B. Arakoa ameziga vita mara ngapi?

C. Walikataa chanjo


Bila shaka wenye biashara zao walifurahi kuharibiwa soko sio?

Note: ugeni wa Waziri wa mambo ya nje wa China hadi Chato alikuja kucheza sio????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…