Wa mama samia ni kanali tayari mzee wampandishe cheo gani mkuu.unamkumbuka mkelemi amekaa na ukanali miaka mingapi unajua?Akipandishwa tu huyu mama wa Samia Suluhu, nae anakula u brigedi jenerali.. nahisi amekaa nacho kama miaka mitatu. Maana yule hakukaa nae sana
Mkuu Kuna mambo ulio eleza nakubalina na wewe ila mengine yanaukakasi kidogo.Hivi mkuu hadi sasa hujui kuwa covid19 ni mtaji?
1. Mashine za kupimia
2. Sanitizer
3. Barakoa
A. JPM alisema vinatoa majibu ya uongo na kweli tulishuhudia mataifa mengine yakifanya uchunguzi na kukiri
B. Arakoa ameziga vita mara ngapi?
C. Walikataa chanjo
Bila shaka wenye biashara zao walifurahi kuharibiwa soko sio?
Note: ugeni wa Waziri wa mambo ya nje wa China hadi Chato alikuja kucheza sio????
Akili mukichwaKhaa. Ina maana Mzee kauwawa? [emoji22]
Wanarudi kuendelea na kawaida ya kuzoa takataka na fatigue za hapa na pale!Wanarudi vikosini sasa
Sio lazima ukubaliane nami mkuu lkn utasikia na kwingineMkuu Kuna mambo ulio eleza nakubalina na wewe ila mengine yanaukakasi kidogo.
Ndio mkuu ila sio kwamba nakubihia. Ispokua Mimi nafikili Kuna mchezo umechzwa tu ili kumuondoa huyu mwambaSio lazima ukubaliane nami mkuu lkn utasikia na kwingine
Mchezo huu umeanzia nje...hili suala linazunguka kwa watu wa usalama tu.Ndio mkuu ila sio kwamba nakubihia. Ispokua Mimi nafikili Kuna mchezo umechzwa tu ili kumuondoa huyu mwamba
Sikufahamu kama wa mama tayari ni Kanali. All in all namuombea jamaa asichelewa kuwa Brigedia Gen.Wa mama samia ni kanali tayari mzee wampandishe cheo gani mkuu.unamkumbuka mkelemi amekaa na ukanali miaka mingapi unajua?
Hii nimeiskia kwako, lakini pia nimeisikia kwa watu watu wegine. Jamaa alikuwa na vita kubwa sana na hata alivyosema ameyatoa maisha yake ni 100%. Kweli.Mchezo huu umeanzia nje...hili suala linazunguka kwa watu wa usalama tu.
Ndio maana ulisikia mzee mwenyewe alikiri day one kuwa anaiacha nchi yake aipendaye na hawezi toboa
Duuhh hatari Sana kwa hii duniaMchezo huu umeanzia nje...hili suala linazunguka kwa watu wa usalama tu.
Ndio maana ulisikia mzee mwenyewe alikiri day one kuwa anaiacha nchi yake aipendaye na hawezi toboa
Pamoja na makosa mengi ya JPM alijitoa muhanga huku akijua anachukiwa na wengi kwa maamuzi yake, akitamani aone kitu kikifanyika, Tanzania mpya.Hii nimeiskia kwako, lakini pia nimeisikia kwa watu watu wegine. Jamaa alikuwa na vita kubwa sana na hata alivyosema ameyatoa maisha yake ni 100%. Kweli.
Tatizo watu walikuwa wanakejeli pale mwamba aliposema tupo kwenye vita ya kiuchumi.Hii nimeiskia kwako, lakini pia nimeisikia kwa watu watu wegine. Jamaa alikuwa na vita kubwa sana na hata alivyosema ameyatoa maisha yake ni 100%. Kweli.
Upo sawa kabisa. JPM alisema anajua mengi sana, shida watu wamelala sanaTatizo watu walikuwa wanakejeli pale mwamba aliposema tupo kwenye vita ya kiuchumi.
Mnakumbuka kipindi flani alipata kusema kuwa kuna watu wazito wanaompangia ya kufanya? Hadi akasema mimi ni jiwe, sipangiwi?. Nisiandike mengi, naomba niishie hapa.
Na bila shaka wakaona asije akatusanua hayo mengi wakaamua kumpeleka jongomeo ili asizidi kutuamusha kuhusu hila zao.Upo sawa kabisa. JPM alisema anajua mengi sana, shida watu wamelala sana
mkuu unabusara sana🤝. Wakati wa majonzi hauwezi waza pesa labda uwe na yako.Hapo hata hawawazi per diem. Ukiondokewa na mtu ambae kila siku ulikuwa nae huwa ni maumivu makali sana