Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huyu mwamba nasikia nasikia dakika za mwisho kaumia sana...Sure, wameona dk ya mwisho ya boss wao, inauma sana
Wachina pumbavu zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwamba nasikia nasikia dakika za mwisho kaumia sana...Sure, wameona dk ya mwisho ya boss wao, inauma sana
Wana siri nzito sana hawa jamaa. Hawa ndio hula kiapo kikuu chankutumza siri...Hawa waheshimiwa wameumia sana kwani JPM alikuwa sehemu ya maisha yao.
Kibaya zaidi wameshuhudia mateso ya boss wao live
Sure, jamaa alikuwa tayari waeunga na JPM kama soul tie vile, maumivu lazima yawe makali sana. Kuna kipindi picha ya JPM ipo kwa jamaa na picha ya jamaa ipo kwa JPM.. inahuzunisha sanaHuyu mwamba nasikia nasikia dakika za mwisho kaumia sana...
Wachina pumbavu zao
Jukumu la kumrinda Rais ni zito, na ukamaliza salama lazima uwe promoted. Wengi wao imekuwa hivyoNi huwa inakuwaga ivo ama ni maono yako binafsi?
Naam, wao na madaktari wa jpm.Wana siri nzito sana hawa jamaa. Hawa ndio hula kiapo kikuu chankutumza siri...
Sana, unaona kabisa wana mzigo moyoni kama huyu PSU ndio yupo hoi kabisaa.. sema majukumu ya kazi tu.. ila yupo hoi kabisaNyuso zao zinatia huruma.
Umejuaje waligoma wakati ni siri kama ulivyosemaNaam, wao na madaktari wa jpm.
Ndio maana hata madaktari wake waligoma kusaini mapema...imewauma sana
Acha kabisa mkuu.Sure, jamaa alikuwa tayari waeunga na JPM kama soul tie vile, maumivu lazima yawe makali sana. Kuna kipindi picha ya JPM ipo kwa jamaa na picha ya jamaa ipo kwa JPM.. inahuzunisha sana
Mungu awafanyie wepesi na kuwaponya na maumivu mioyoni mwao, kama ikimpendezaNaam, wao na madaktari wa jpm.
Ndio maana hata madaktari wake waligoma kusaini mapema...imewauma sana
😭😭😭😭😭.. inauma sanaAcha kabisa mkuu.
Laiti tungeiona video mzee alivuotaabika nafikiri tungebeba mapanga kwa uchungu.
Inasemekana walishtushwa kukuta kifaa kilichokuwa kinamsaidia kimesambaratika kabisa
Siri hutolewa kwa siri piaUmejuaje waligoma wakati ni siri kama ulivyosema
Endelea kutupa izo siriSiri hutolewa kwa siri pia
Ndio, wana zamu, wao wanahusika wakiwa nje zaidi lakini akiwa Ikulu kuna walinzi wengi so lazima wapewe wasaaHivi hawa watu walikuwa wanapata muda wa kuona familia zao?