Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tusyele tukhuswighaSikufwana sunga
naloli nkamutusyele tukhuswigha
Poleni kwa lipi?Kayafa akifa ni sherehe na wala siyo msiba.Poleni wakuu... I respect you
Hivi hawa watu walikuwa wanapata muda wa kuona familia zao?
SijakwelewaPoleni kwa lipi?Kayafa akifa ni sherehe na wala siyo msiba.
hakuna watu wanaopitia kipindi kigumu kama hawa jamaa aisee
Nilikaa Geto, Chozi likatoka mzee, Hakika kivyovyote kwa aliehusika lazima ibackfire haswa wa interior ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa mzee amefariki na magonjwa, amelijitoa mhanga kweli kweli na amefanya makubwa sana bila hofu yoyotePamoja na makosa mengi ya JPM alijitoa muhanga huku akijua anachukiwa na wengi kwa maamuzi yake, akitamani aone kitu kikifanyika, Tanzania mpya.
Na uharaka wa kufanya mambo ni kiashiriavtosha alijua hana muda.
Nani aliwahi kuwapinga mabeberu akaishi?
Hili nalo gumu kung'amua kilichotokea?
Kadiri siku zinavyosogea tutajua mengi
Wamekula sana hao.
Mmmh[emoji848][emoji848]Acha kabisa mkuu.
Laiti tungeiona video mzee alivyotaabika nafikiri tungebeba mapanga kwa uchungu.
Inasemekana walishtushwa kukuta kifaa kilichokuwa kinamsaidia kimesambaratika kabisa
U hali gani mkuuMmmh[emoji848][emoji848]
Poaz mamboU hali gani mkuu
Poa mremboPoaz mambo