Hawanipendi kisa najua sana mambo ya Kimataifa

Hawanipendi kisa najua sana mambo ya Kimataifa

Umenichekesha sana leo pale uliposema mbabe Putin kalazimika kubadili walinzi wake mara nne toka vita ya Ukraine ianze
 
Siandiki kishabiki napima na sikurupuki,

PM zimeanza Kujaa kwa kifupi

Urusi Nina Mke , Yaan mama yenu ni Mrusi Irina KOMOVA na mpaka jana ndo nimelazimika kumtoa huko ili hali inayoendelea ya ugumu wa maisha,

Nimezitembea nchi Zote hizo na nimekaa uzuri nimekaa Urusi Saratov Miaka 3 na Rostov oblast 2 alafu MOSCOW 1 na Transnitria 1,

Kwa Urusi na Ukraine nazijua sana ! Nina taarifa nyingi acha ma publications ya CNN sijui CCTV sijui BBC Au RT , I talk from the ground,

Kama hunipendi Nipo sana hapa


Habari za huku mtazipata sana


Namalizia Kwa Kuwapongeza CCM NA COMRADE KINANA,

Baadae ntawapa taarifa za North Korea have been there twice 2016 na 2021 Kwa 2021 ndo nimekaa sana Kwa kazi zetu maalumu.

- Britanicca ndani ya Korea Kusini na Kaskazini Kwa miezi 8, week ya awali yawa ngumu Kwa kukiuka Utaratibu wa nchi husika

Na hii

- North Korea Night life/Maisha ya Usiku Korea Kaskazini Msidhani kuna Misambwanda

Have a good day
Hiyo ni sawa kama unaishi huko binafsi sina tatizo na hilo.Mi nipo hapa Tanzania lakini siwezi kujitapa eti naijua sana Tanzania.Halafu kwamba eti uko kwa kazi zenu wabongo bana safi sana labda kwa hilo ndio nawaelewa watanzania wenzangu mengine siyajui ya Wa tz.Hatukatazi kuchambua endelea tu kutofautiana kupo mkuu.ila jikite kwenye fact usiandike kishabiki.Elewa kwanza Russia wanataka nini je wanachokitaka kimefanikiwa au wanataka kuikalia ukraine yote kimabavu. natumaini utatuhabarisha vizuri siku zijazo.Hatukuchukii ndio maana tunasoma post zako.
 
Back
Top Bottom