Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni sawa kama unaishi huko binafsi sina tatizo na hilo.Mi nipo hapa Tanzania lakini siwezi kujitapa eti naijua sana Tanzania.Halafu kwamba eti uko kwa kazi zenu wabongo bana safi sana labda kwa hilo ndio nawaelewa watanzania wenzangu mengine siyajui ya Wa tz.Hatukatazi kuchambua endelea tu kutofautiana kupo mkuu.ila jikite kwenye fact usiandike kishabiki.Elewa kwanza Russia wanataka nini je wanachokitaka kimefanikiwa au wanataka kuikalia ukraine yote kimabavu. natumaini utatuhabarisha vizuri siku zijazo.Hatukuchukii ndio maana tunasoma post zako.Siandiki kishabiki napima na sikurupuki,
PM zimeanza Kujaa kwa kifupi
Urusi Nina Mke , Yaan mama yenu ni Mrusi Irina KOMOVA na mpaka jana ndo nimelazimika kumtoa huko ili hali inayoendelea ya ugumu wa maisha,
Nimezitembea nchi Zote hizo na nimekaa uzuri nimekaa Urusi Saratov Miaka 3 na Rostov oblast 2 alafu MOSCOW 1 na Transnitria 1,
Kwa Urusi na Ukraine nazijua sana ! Nina taarifa nyingi acha ma publications ya CNN sijui CCTV sijui BBC Au RT , I talk from the ground,
Kama hunipendi Nipo sana hapa
Habari za huku mtazipata sana
Namalizia Kwa Kuwapongeza CCM NA COMRADE KINANA,
Baadae ntawapa taarifa za North Korea have been there twice 2016 na 2021 Kwa 2021 ndo nimekaa sana Kwa kazi zetu maalumu.
- Britanicca ndani ya Korea Kusini na Kaskazini Kwa miezi 8, week ya awali yawa ngumu Kwa kukiuka Utaratibu wa nchi husika
Na hii
- North Korea Night life/Maisha ya Usiku Korea Kaskazini Msidhani kuna Misambwanda
Have a good day
Baba ndio Mimi mwenzio mrusiKumbe hahaha majina Irina