Hawavumi lakini wamo

Hawavumi lakini wamo

Haya ni kuyapeleka tu huko maporini yakalime Tanzania iwe food basket EA
 
Kuchekesha kipaji aisee.... na huu ugumu wa maisha hawa comedians wetu kazi wanayo
 
Kuchekesha kipaji aisee.... na huu ugumu wa maisha hawa comedians wetu kazi wanayo
Wangejifunza kwa wenzao wa kenya. Mimi zamani eti mc pilipili nae alikuwa ananichekesha[emoji848][emoji848][emoji848] siku moja nikiwa naperuzi kwenye video zake youtube nikaona moja ya churchill show nikaifungua kama bahati mbaya tu. Ile intro song yake ikanivutia nikapiga kambi (ilikuwa ya erick omondi) aisee kuanzia hapo msanii wa tanzania anayenifurahisha nadhani ni Charlie Chaplin [emoji38][emoji38][emoji38] hao wengine siwaelewi. Kwa mbali chalii ya R alikuwa anajitahidi ila nae sasa hivi kapoa. Kuna wale wanaojiita wanyabi nao siku hizi ni matusi tu
 
Wangejifunza kwa wenzao wa kenya. Mimi zamani eti mc pilipili nae alikuwa ananichekesha[emoji848][emoji848][emoji848] siku moja nikiwa naperuzi kwenye video zake youtube nikaona moja ya churchill show nikaifungua kama bahati mbaya tu. Ile intro song yake ikanivutia nikapiga kambi (ilikuwa ya erick omondi) aisee kuanzia hapo msanii wa tanzania anayenifurahisha nadhani ni charlie chaplin [emoji38][emoji38][emoji38] hao wengine siwaelewi. Kwa mbali chalii ya R alikuwa anajitahidi ila nae ssahv kapoa. Kuna wale wanaojiita wanyabi nao siku hizi ni matusi tu
Kuna jamaa wanaitwa @victazaa a.k.a electronic kitambo na @wakusmarta kawacheki Insta hutajutia MB zako.

NB: MC Pilipili hajawahi nichekesha
 
Kuna huyu mtu anaitwa Idriss Sultan yaani hata sijawahi kuielewa, amefanya show nyingi lkn watu wakamkazia kucheka
 
aisee wanafanya watu wapuuz kweli tunataka stress zipoe kweli wao wanaleta mipasho yan kwenye komedi hiz fupi fupi au zle za jukwaani wakenya hatuwazidi nafkiri
 
Hivi hiyo sauti inayoskika ikisema "Nhaaaaah.!!" waga naitafuta sana niitumie kwenye matangazo yangu..hivi naipataje wadau? Darmian
 
Wangejifunza kwa wenzao wa kenya. Mimi zamani eti mc pilipili nae alikuwa ananichekesha[emoji848][emoji848][emoji848] siku moja nikiwa naperuzi kwenye video zake youtube nikaona moja ya churchill show nikaifungua kama bahati mbaya tu. Ile intro song yake ikanivutia nikapiga kambi (ilikuwa ya erick omondi) aisee kuanzia hapo msanii wa tanzania anayenifurahisha nadhani ni Charlie Chaplin [emoji38][emoji38][emoji38] hao wengine siwaelewi. Kwa mbali chalii ya R alikuwa anajitahidi ila nae sasa hivi kapoa. Kuna wale wanaojiita wanyabi nao siku hizi ni matusi tu
Kiukweli kwa upande wangu mim, hajawah tokea mchekeshaji mkubwa na wakipekee kama charlie Spencer Chaplin,, ninaipenda kazi ya huyu bwana,, fikiria ilkua ni kipind cha silent films yaan kimya kimya matendo bila sauti yanakuvunja mbavu,,

World wide charlie was a a Gifted Gold mimded man, hajawahi tokea mtu kama yule kwenye tasnia
 
Back
Top Bottom