Hawezi fanya mapenzi bila kupaka mafuta

Hawezi fanya mapenzi bila kupaka mafuta

Kuna matatu....
1. Hujui shughuli
2. Hakufeel kabisa
3. Ni khanithi huyo mpenzio
 
KY Jelly watumie nadhani itasaidia kuondoa hiyo shida ya ukavu na utelezi utapatikana.
 
Mwambie apende kutumia kachumbari kwa wingi na atumie asali mbichi mara nyingi awezavyo kwa kulamba pia kuna majani ya mlenda pori yanalainisha sehem u hizo
 
Kwa ushauri nasaha mlete kwa dady 1000 atamponya kwa siku mbili nadni ya masaa 48 atapona na mlenda utakuwa umerudi kabisa kwani tesy yangu balaaaa ukipuuzia kamuone dactari
 
nenda jf dr...
mkiambiwa mle nyanya chungu (ngogwe) oohh., sili dawa ya malaria
haya safar njema..
 
nenda jf dr...
mkiambiwa mle nyanya chungu (ngogwe) oohh., sili dawa ya malaria
haya safar njema..

whaaat? is this annito?

good night pal..!

White-Roses-flowers-25785322-2240-1680.jpg
 
Last edited by a moderator:
Habarini wana Jamvi.
Ninaomba msaada juu ya hili.
Nina mpenzi wangu uke wake huwa mkavu sanaa hata umfanye nini hatokwi na ule ute ute.
Na mkitaka kufanya mapenzi uume hauingii mpaka utumie lubricant. Some times naona kama namuumiza vile.
Hata yeye hafurahii kabisa hali hii.
Je tatizo hili hutokana na nini?
Msaada wowote wa kitabibu wadau.

labda na wewe huwa unakuwa na cold penis! you cant know!

1334023883258_5702156.png
 
Ajiandae mwenyewe kisaikolojia

Wewe umuandae vizuri kwa muda wa kutosha

Kama huwa anaunga "K" mwambie aache

Mkishindwa waoneni wataalam au tumieni lubricant kama preseed au durex
 
Back
Top Bottom