Haya anayofanya Freeman Mbowe ni unafiki mkubwa kuwahi kutokea. Angefanya Zitto Kabwe wa ACT moto ungewaka

Yaaani inamaana chadema nzimaa hakuna mgeni rasmi?. Kwa kuwa mumeanza kutambuakazi nzuri ya mama SAMIA, Sasa tunawaomba Kwa UMOJA wao chadema na CCM tumpitishe raisi mama SAMIA bila kupingwaa 2025. Chadema+CCM OOOHYEEEEE
Hiyo mbona ni siku nyingi imeshapita? Ndio maana Lissu alikasiriki akarudi zake ukimbizini. Kuambiwa tu 2025 ni Samia baasi, akajiondokea zake eti ku- renew visa, eti appointment na daktari. Hii Tanzania tutaona mengi.
 
Cdm syo chawa wa ccm kama act.
Mbowe akili kubwa
 
Sukuma Gang lazima mtanena kwa lugha mwaka huu siyo kwa mhaho huu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hujui kitu chochote kile kuhusu maridhiano. Ni vyema ukakaa kimya kuliko kuleta jukwaani mada ya kuipuuzi kama yako.

Hivi unafikiri Rais ambaye ni Mwenyekiti Taifa wa CCM ni rahisi kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kitaifa ya CDM? Hivi unazitambua ajenda zilizopo katika mchakato wa maridhiano?

Maridhiano ni mchakato wenye matakwa ya "win - loose situation" kwa hiyo ni lazima tutegemee kuona vyama hivi viwili vikubwa vikilegeza baadhi ya misimamo ambayo ilikuwa ni ngumu kufanya maamuzi hapo awali.

Vongozi kama hawapelekeshwi na hisia ama "sentiments" bali wanafanya maamuzi kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa letu, na pia kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi yetu.
 
Wewe ni maiti umekufa alafu umeoza unanuka! Uko tayari kushabikia upumbavu wowote kikubwa kulinda chadema na maslahi Yako huna lolote
 
Chadema wanalinda 'mardhiano' kwa nguvu kubwa sana huku bara kama wake wenza wao wa ACT wanavyoyalinda Kule Znz

Bwana Mkubwa ( CCM) kazi yake ni kuchonganisha wake zake tu wasipatane au kuungana kumhujumu

Asante sana Hayati Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kwa misingi yako katika kusimamish nguzo za Siasa za vyama vingi kama alivyokusifia Kaka yako Mzee Ally Hassan Mwinyi kwenye kitabu chake
 
zito ni mpumbavu na chama chake cha cuf iliyochangamka.
 
tumewakomesha wajinga wa uvccm na bado kesho mamayenu tunamkabidhi kadi ya chadema mnye kabisa wapuuz nyinyi mamayenu tumemlambisha asali
 
Imagine Zitto alimuomba Samia atumie powers zake Mbowe aachiwe, Watu wakamtukana sana eti anataka rais aingilie uhuru wa mahakama Lakini Lema na Lissu walipomuomba rais kesi zao zifutwe hiyo makamanda hawaoni kuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.

Zitto aliongea mbele ya Samia, makamanda wakamuwashia moto eti anaongea kwa "tone" ya kubembeleza, lakini tunaona siku hizi Mbowe na makamanda wanamwaga sifa kedekede kwa Samia

Zitto huwa wanamuonea sana
 
uvccm tunawasubir 2025 tuwakomeshe mamayenu kesho anaitikia power akiambiwa people's.
 
Yaaani inamaana chadema nzimaa hakuna mgeni rasmi?. Kwa kuwa mumeanza kutambuakazi nzuri ya mama SAMIA, Sasa tunawaomba Kwa UMOJA wao chadema na CCM tumpitishe raisi mama SAMIA bila kupingwaa 2025. Chadema+CCM OOOHYEEEEE
kama ambavyo mamayenu amewaona hamna maana huko lumumba yan amewapuuza na kurukia dodo na kesho anaitikia power
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…