Hiyo mbona ni siku nyingi imeshapita? Ndio maana Lissu alikasiriki akarudi zake ukimbizini. Kuambiwa tu 2025 ni Samia baasi, akajiondokea zake eti ku- renew visa, eti appointment na daktari. Hii Tanzania tutaona mengi.Yaaani inamaana chadema nzimaa hakuna mgeni rasmi?. Kwa kuwa mumeanza kutambuakazi nzuri ya mama SAMIA, Sasa tunawaomba Kwa UMOJA wao chadema na CCM tumpitishe raisi mama SAMIA bila kupingwaa 2025. Chadema+CCM OOOHYEEEEE
Cdm syo chawa wa ccm kama act.Kwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
Sasa zzk si ndo kadumaaIlikuwa zamani kaka zitto alikataa kuwa mtumwa wa fikra za mtu Mmoja
Sukuma Gang lazima mtanena kwa lugha mwaka huu siyo kwa mhaho huu.Kwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
Hujui kitu chochote kile kuhusu maridhiano. Ni vyema ukakaa kimya kuliko kuleta jukwaani mada ya kuipuuzi kama yako.Kwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
Wewe ni maiti umekufa alafu umeoza unanuka! Uko tayari kushabikia upumbavu wowote kikubwa kulinda chadema na maslahi Yako huna loloteHujui kitu chochote kile kuhusu maridhiano. Ni vyema ukakaa kimya kuliko kuleta jukwaani mada ya kuipuuzi kama yako.
Hivi unafikiri Rais ambaye ni Mwenyekiti Taifa wa CCM ni rahisi kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kitaifa ya CDM? Hivi unazitambua ajenda zilizopo katika mchakato wa maridhiano?
Maridhiano ni mchakato wenye matakwa ya "win - loose situation" kwa hiyo ni lazima tutegemee kuona vyama hivi viwili vikubwa vikilegeza baadhi ya misimamo ambayo ilikuwa ni ngumu kufanya maamuzi hapo awali.
Vongozi kama hawapelekeshwi na hisia ama "sentiments" bali wanafanya maamuzi kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa letu, na pia kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi yetu.
Haaaaaa haaaaa. Duuuuuuh. Mm nilidhani jamaa kaenda Kwa mganga wakeeHiyo mbona ni siku nyingi imeshapita? Ndio maana Lissu alikasiriki akarudi zake ukimbizini. Kuambiwa tu 2025 ni Samia baasi, akajiondokea zake eti ku- renew visa, eti appointment na daktari. Hii Tanzania tutaona mengi.
Hakuna Mganga mkali kama 'asali'Siasa mchezo mchafu. Huwezi MPA sifa. mpinzani wako.
zito ni mpumbavu na chama chake cha cuf iliyochangamka.Kwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
tumewakomesha wajinga wa uvccm na bado kesho mamayenu tunamkabidhi kadi ya chadema mnye kabisa wapuuz nyinyi mamayenu tumemlambisha asaliKwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
uvccm tumewakomesha na bado 2025 lazima maji muite mmaHakuna Mganga mkali kama 'asali'
uvccm tunawasubir 2025 tuwakomeshe mamayenu kesho anaitikia power akiambiwa people's.Imagine Zitto alimuomba Samia atumie powers zake Mbowe aachiwe, Watu wakamtukana sana eti anataka rais aingilie uhuru wa mahakama Lakini Lema na Lissu walipomuomba rais kesi zao zifutwe hiyo makamanda hawaoni kuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Zitto aliongea mbele ya Samia, makamanda wakamuwashia moto eti anaongea kwa "tone" ya kubembeleza, lakini tunaona siku hizi Mbowe na makamanda wanamwaga sifa kedekede kwa Samia
Zitto huwa wanamuonea sana
kama ambavyo mamayenu amewaona hamna maana huko lumumba yan amewapuuza na kurukia dodo na kesho anaitikia powerYaaani inamaana chadema nzimaa hakuna mgeni rasmi?. Kwa kuwa mumeanza kutambuakazi nzuri ya mama SAMIA, Sasa tunawaomba Kwa UMOJA wao chadema na CCM tumpitishe raisi mama SAMIA bila kupingwaa 2025. Chadema+CCM OOOHYEEEEE
uvccm na sukuma gang tumewakomesha na bado.Mbowe ni afisa kipenyo anayetumika KUWALAGHAI WATANZANIA.