Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Mbali na kwamba hakuna mkamilifu, ila Wahaya kwakweli mara nyingi ukienda naye darasani we jiandaa tu kiwa nyuma yake, na hata km hatakuwa mzuri ki taalimuma basi mambo yake yako well organised sana , lakini tukumbuke, s lazima kila Mhaya afauli ila kwa kiwango kikubwa wanajitahid na kujielewa. Pia hata ukiingia kwenye ofisi za kawaid basi ukimkuta mhaya basi hakosi kwenye nafasi za kiutawala, h
 
Umechanganya dini na historia na mambo mengine

Hakuna kitu hapa ulichoandika
 
Ukweli unauma??kuna mkurugenzi mmoja wa redio kubwa nchini,he is above 50yrs,hana mpango wa kuoa..kutwa na vibinti!!ni muhaya original huyo!!!pamoja na kuwa nyie mko vzr kielimu,lakini ktk kitengo cha mfudede mmepoteza nati!!!
Aisee kumbe ww unawaza kuoa !! Tembea nchi za webzetu waliotutangulia then ongelea swala la kuoa au fanya utafti wengi wao wanaoa wakiwa na umri gani we ujui kuzaa sana ndokuna irudisha Afrika nyuma loh! Hapo undounaweza kupima IQ yako inalevel gani.
 
Aisee kumbe ww unawaza kuoa !! Tembea nchi za webzetu waliotutangulia then ongelea swala la kuoa au fanya utafti wengi wao wanaoa wakiwa na umri gani we ujui kuzaa sana ndokuna irudisha Afrika nyuma loh! Hapo undounaweza kupima IQ yako inalevel gani.
We mwehu,
 
..ukweli mtupu..
 
Na ndio wagunduzi wa ulaji wa panzi wa kijani aka senene,ili kuua soko la vijiuadudu,!!
 
Point yangu imesaidia kutoa alternative history
 
Hii ni out of topic lakini ni vizuri mkaijua.

From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la wakati ule) ndio walikua custodian wa tumaini la injili. Baada ya Stephen kupigwa mawe around 35 AD, kanisa ndio limekuwa mtunzaji mkuu wa injili.

Miaka 2000 baada ya Stephen kupigwa mawe inaishia around 2035, hii itatimiza miaka 2000 ya injili kwenda kwa mataifa na kanisa kuwa mtunzaji mkuu wa injili.

So huenda kuna mabadiliko ya majira na nyakati (a change in times and seasons) yatatokea mitaa ya miaka ya 2030-2040. Wakati huo dunia itakua na miaka around 6034-6044. Dunia itakua iko extra time kwa miaka 34-44 baada ya kumaliza miaka 6000 ya uwepo wake. Uwezekano upo wa extra time kuendelea mpaka 6666.

Katika kila kipindi cha dunia huwa kuna atleast mtu mmoja ambaye kwa neema ya Bwana Yesu, anakua anaijua injili ya kweli na jina lake linakua limeandikwa mbinguni. Na kabla mtu huyo hajafa huwa kuna mwingine anakua tayari ameshaonyeshwa au kufundishwa injili ya kweli na Mungu wa Israel mwenyewe. E.g. Kabla ya Enoch kufa Methuselah mtoto wake Enoch alishazaliwa na kuwa mkubwa na kuwa mtakatifu. Kabla ya Methuselah kufa, Noah (kitukuu au kilembwe cha Methuselah) alikua na zaidi ya miaka 500 (Noah alikua around miaka 600 wakati wa gharika ambapo Methuselah alikufa miezi michache kabla ya gharika). Na Noah alikua mtakatifu tayari. Kabla ya Noah kufa, Shem (mtoto wa Noah) alishakuwa mtakatifu. Kabla ya Shem kufa Abraham (more than kitukuu au kilembwe cha Shem) alishazaliwa na kuwa mkubwa na kuwa mtakatifu. Tena baada ya Abraham kuingia Canaan ndio Shem anakufa. Hapo Abraham (kupitia Isaac na Jacob) ndio wanakua wahifadhi wakuu wa tumaini la injili kwa around miaka 2000. Hadi around 35 AD ambapo Wayahudi walimpiga mawe Stephen ambaye alikuwa mfuasi wa Yesu.

Hiyo ndio line halisi kabisa ya kiroho na kiimani ambayo inaendelea mpaka sasa. Na hata sasa kuna Wakristo ambao wameonyeshwa au kufundishwa imani ya kweli na majina yao yameandikwa mbinguni. Wakristo hao wanaweza kuwa wametoka mataifa mbali mbali.

Kwenye kitabu cha Daniel, Yule Mtu Aliekua amesimama juu ya maji mengi (huyu ni Bwana Yesu) Daniel 8:13, Aliitwa Palmoni maana yake ni Wonderful Numberer. Ukiona title kama Wonderful Counsellor, Wonderful Numberer, Revealer of Secrets ujue zina belong to the Godhead. Kwenye old tastement ukiona titles kama ‘The Word of God’, Michael the Archangel, au The Angel of the LORD (kwa mfano pale waisraeli walivyokua wanatoka Misri), ujue huyo ni Bwana Yesu kabla hajazaliwa duniani pale Bethlehem.

So unaona Abraham alivyo furahi na kustaajabu kupita kiasi alivyojua kwamba huyo anaeongea nae kwenye visions (The Word of Yahweh) ndio huyo huyo atakuja duniani na kufa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu na kufufuka na kurudi mbinguni kama mshindi. The Word of God ndio Kamanda mkuu wa majeshi yote ya malaika wa mbinguni. Nahisi hata Enoch alikua anajua kwamba Yesu atakuja duniani. So unaona the humility of Jesus (Yahushua) iliopelekea yeye kukaa kuume kwa Mungu Baba. Unaona the pride of Lucifer (Satan) iliyopelekea yeye kufukuzwa mbinguni.

So watanzania tu avoid majivuno ya kisiri siri (na kurudishana nyuma kisiri siri) kwasababu sio mazuri. Ukiona au kuhisi mtu fulani au kabila fulani (e.g. Wachagga, ingawa nao wana madhambi pia) limebarikiwa au limefanikiwa usichukie, jipange (au jipangeni) mdogo mdogo (kiroho na kimwili) bila kuwahujumu huyo au hao unaohisi wamebarikiwa na Mungu atakusaidia (atawasaidia).

Kipindi cha waisraeli (tangu Abraham alivyoingia Canaan?) hadi walivyo ondoka Misri ilikua exactly miaka 430. Na kuna majira mengine kama miaka 1260 ambapo injili ya kweli ilikwenda nyikani, kuna miaka 490 etc.

Farao aliambiwa miaka 7 ya mavuno tele na miaka saba ya njaa kubwa. Babeli iliambiwa kuwa itatawala dunia kwa miaka 70. Wamisri enzi za Farao wa Joseph walikua sio wayahudi, walikua sio wakristo, walikua ni mataifa (gentiles), tena watoto wa Ham. So hata Mataifa yetu yana namba zake na majira yake na nyakati zake. Hata makabila, koo na mtu moja moja pia. Tanzania pia ina namba zake na majira yake na nyakati zake. So Watanzania tumshukuru Mungu wa Israel kwa kutuletea injili Afrika.
 
cha ajabu ni kuwa mkoa wao wa Kagera ndio mkoa maskini zaidi hapa Tanzania!!!!!fanyia na hili utafiti uje utujuze kwa nini ma prof wawe maskini
 
Unazingua, unadhani intelligence ni kuwa wa kwanza darasani, na kuwa kuwa nyapara kwenye mashirika.

Wahaya wanapenda sana kushindana , kama wangekua na akili kagera ingetisha.

Nadhani wachanga naweza wapa credit kwa uwezo wao mkubwa wa kutatua matatizo katika jamii.
 
Maprofesa wengi duniani ni WAHAYA hilo halina Ubishi. Hata UN wanatambua hilo. AKILI KUBWA
 
I WILL NEVER AGREE IF HAYA IS MOST INTELLIGENCE
Mm nmesoma advance kanda ya ziwa shule ile kuazia headmasta n mhaya headboy etc ilaa mm wa kusini magharibi mbona nliwakimbiza had nikawa academic prefect na nliwakimbiza had NECTA nyuma ya Mkerewe flan aliyepata div 1 ya 4
NINACHOAMIN NI HIKI
wahaya na uhayani ndo sehem za mwazo kabsa wakolon kuendesha huduma za kijamii na mishen za kisasa

cash crops zlsaidia sana wahaya kusoma, the fact remain that waliweza ku afford school fees na location advantage due to presence of many school

KUSEMA WAHAYA MORE INTELLIGENCE THAN OTHER Tribe hapana Wakuluuuuuu
 
Intelligence ni neno lenye maana pana sana lakini kwa tafsiri nyepesi ni uwezo wa kuchambua mambo na kuwa na kutunza kumbukumbu.
Sasa mtu anaweza kuwa mzuri wa kuchambua mambo ya dini, mpira, uvuvi, ufugaji, muziki na kadhalika na wala wakati mwingine haitaji kuwa ameenda shule ili kuwa mchambuzi mzuri kwani hobby na uzoefu huwa vinachangia sana. Hata hivyo ukikutana na mtu aliyekisomea kitu halafu ama was na hobby nacho ni rahisi sana kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua suala hilo.
Aidha, kuna masuala ambayo kama mtu hajaenda shule ina kuwa ngumu kuyachambua, mfano masuala ya kisiasa, kiuchumi, kivita, kiteknolojia, kifilosofia na kisaikolojia. Ni masuala kama hayo yanayofanya jamii fulani zionekane zina watu wenye akili nyingi kutokana na kuwa na watu wengi waliofaulu elimu za juu.
Kabla ya kuja elimu ya kimagharibi, mabavu zetu walikuwa wakarithisha elimu kwa watoto wao kupitia uzoefu (experience) na theory kidogo tu tofauti na sasa ambako mtu anakalishwa madarasani kwa miaka hata zaidi ya 20 akimezeshwa material ya kila aina.
Elimu ya uzoefu siyo ngumu kama ya theory na pia elimu ya uzoefu ni ngumu kumtenganisha aliye bora dhidi ya asiye bora tofauti na elimu ya kimagharibi ambayo ukifeli mitihani unaonekana ni kilaza na anayefaulu ni kipanga.
Vituvinavyosababisha baadhi ya makabila kuwa na akili nyingi za darasani ni:
  • Genetical origins (asili ya jeni zako). Je, Wewe ni/una mchanganyiko wa damu zifuatazo - semitic, hamitic, nilotic, Bantu, ama San (bushmen)? Hii sifa inaathiri akili zako.
  • Climatical Conditions (hali ya hewa). Je eneo la asili la familia, ukoo na Kabila lenu linapata mvua za kutosha (zaidi ya mm 1200) mwaka na kwa angalao miezi tisa inayopata mm 100 @? Hii ndiyo sifa kuu ya kabila kuwa na akili nyingi, possibly 50-60%
Sifa nyingine ni:
  • Eneo lenye Udongo wenye rutuba, hasa wa volcanic.
  • Eneo lenye Joto la kadri (lisizidi angalao 20 degree centigrade) ili kutunza nishati ya mwili.
  • Eneo lisilo na Malaria pamoja na Homa ya Manjano (Yellow Fever).
  • Eneo lisilo na Sleeping sickness (Trypanasomiasi na Nagana).
  • Eneo lisilo na Kichocho (Schistosomiasis ama Bilharzia).
  • Eneo lenye kiwango kidogo cha Madini ya Fluoride (<1.5 mg/L)
  • Eneo lenye kiwango cha kutosha cha Madini ya Iodine.
  • Eneo lenye utajiri Samaki, hasa wa maji baridi.
  • Eneo lenye utajiri wa Mifugo, hasa ng'ombe wa maziwa.
  • Eneo lenye Usalama (hasa visiwani na milimani).
Haya hebu fuatilieni asili zenu hasa ukoo wenu. Ulizia sifa hizo kama walikuwa nazo. Kumbuka asili ya jeni zenu na hali ya mvua, zina nguvu kubwa ya labda asilimia 60 -70%. Hivyo kama ukoo wako uliishi eneo ambalo miezi inayopata mvua ya mm 100 ni chini ya 7, basi ujue hata kama mna sifa nyingine zote, hamtakuwa watu wenye akili sana.

NB: Umewadis Wahaya na kumsifia Mkerewe lakini nakwambia hayo makabila ni synonymous kwani yana asili inayofanana na yana sifa za hali ya hewa zinazofanana. They are indeed among the best in the best in Tanzania.
Soon, Nikiwa tayari na uandaaji wa ripoti yangu nitarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…