Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

What is the definition of intelligence?
Wengi wanakosea sn wanapoamini kuwa na akili za darasani ndo kuwa intelligent.
An intelligent person is someone who is willing and have the ability to translate the environment surrounding him/her into such a way it is beneficial to him and the society in general.
Sasa ruje kwa wahaya. Mbona mkoa wa kagera ni moja kt ya mikoa masikini kabisa hapa nchini. Hawana chuo kikuu hata kimoja. Usikute huo uprofesa na udr wanaojivunia ni wa kununua. If buying intelligent is also intelligence then Hayas do qualify.
Sioni mhaya mwenye tangible impact in Tannzania
 
What is the definition of intelligence?
Wengi wanakosea sn wanapoamini kuwa na akili za darasani ndo kuwa intelligent.
An intelligent person is someone who is willing and have the ability to translate the environment surrounding him/her into such a way it is beneficial to him and the society in general.
Sasa ruje kwa wahaya. Mbona mkoa wa kagera ni moja kt ya mikoa masikini kabisa hapa nchini. Hawana chuo kikuu hata kimoja. Usikute huo uprofesa na udr wanaojivunia ni wa kununua. If buying intelligent is also intelligence then Hayas do qualify.
Sioni mhaya mwenye positive & tangible impact in Tannzania
 
wahaya kwa misifa hawajambo basi tu ndio elimu zetu hizi hamana hata moja alishagundua kitu
ila pia ndio wanaongoza kwa wanawake wao kujiuza kingono
Amesahau na pale temeke sudani kuna Kokubanza Rwegasira-manager,Byela Rweyemamu-chief secretary,Restuta Rutambuka-chief personely-----------------------------
 
Hatujakataa lakini Mbona hawajaufanyia haki njia wao. Niko miongoni mwa sehemu masikini nchini hadi watu hawana chakula. Sioni faida yao. Wao mbwembwe Na majivuno!!!
 
What is the definition of intelligence?
Wengi wanakosea sn wanapoamini kuwa na akili za darasani ndo kuwa intelligent.
An intelligent person is someone who is willing and have the ability to translate the environment surrounding him/her into such a way it is beneficial to him and the society in general.
Sasa ruje kwa wahaya. Mbona mkoa wa kagera ni moja kt ya mikoa masikini kabisa hapa nchini. Hawana chuo kikuu hata kimoja. Usikute huo uprofesa na udr wanaojivunia ni wa kununua. If buying intelligent is also intelligence then Hayas do qualify.
Sioni mhaya mwenye tangible impact in Tannzania

Kuna wakati najiuliza nini chanzo cha majadiliano haya? Ni faida zipi zinatokana na majadilaino haya? Au watu wanatafuta wachumba kinamna? Binafsi faida sizioni. Juzi uliletwa uzi unaongelea ukazikazini, wakazikazini wakajidai, wakajipamba, nikawa nasubiri wa wakanda ya ziwa, lakini nikijua litakalofuata litakuwa la wahaya. Leo naliona la wahaya, sishangai. kesho au baadae kidogo litakuja la wanyakyusa.

Ukweli ambao sasa mnapashwa kukubalina nao ni kwamba, Tanzania kuna makabila yafuatayo: Kabila kubwa kabisa, ni Masikini ( Umasikini hauna mipaka kama ulivyo utajiri), Kabila dogo kabisa ni kabila la matajiri,kabila la kati ni la wafanyakazi wenye ajira za kudumu (wa serikali,mashirika ya umma, mashirika ya kimataifa, makampuni makubwa kama ya IPP,Sahara media, Azam, n.k), Kabila jingine ni wafanya biashara ( wakubwa na wakati); lipo na kabila ya wakulima, na kabila la wafugaji. Ukitaka unaweza kuweka kabila la viongozi wa kisiasa na kabila la chama tawala.

Nimependa maana ya neno intelligent kama alivyo lielezea ndugu yangu, Jile 79, hapo juu" An intelligent person is someone who is willing and have the ability to translate the environment surrounding him/her into such a way it is beneficial to him and the society in general. Twambie elimu yako ilichosaidia "Ubinadamu na taifa lako" na sio mkoa wako au kabila lako. Haya ndiyo yanyosababisha ujenzi wa viwanja vya .......... kule kusikokokuwa na faida za mapema.
 
Ubinafsi ni watu wa Mara hata hapa Dar wamechukua mtaa wapekeyao kitunda.
 
Kuna wakati najiuliza nini chanzo cha majadiliano haya? Ni faida zipi zinatokana na majadilaino haya? Au watu wanatafuta wachumba kinamna? Binafsi faida sizioni. Juzi uliletwa uzi unaongelea ukazikazini, wakazikazini wakajidai, wakajipamba, nikawa nasubiri wa wakanda ya ziwa, lakini nikijua litakalofuata litakuwa la wahaya. Leo naliona la wahaya, sishangai. kesho au baadae kidogo litakuja la wanyakyusa.

Ukweli ambao sasa mnapashwa kukubalina nao ni kwamba, Tanzania kuna makabila yafuatayo: Kabila kubwa kabisa, ni Masikini ( Umasikini hauna mipaka kama ulivyo utajiri), Kabila dogo kabisa ni kabila la matajiri,kabila la kati ni la wafanyakazi wenye ajira za kudumu (wa serikali,mashirika ya umma, mashirika ya kimataifa, makampuni makubwa kama ya IPP,Sahara media, Azam, n.k), Kabila jingine ni wafanya biashara ( wakubwa na wakati); lipo na kabila ya wakulima, na kabila la wafugaji. Ukitaka unaweza kuweka kabila la viongozi wa kisiasa na kabila la chama tawala.

Nimependa maana ya neno intelligent kama alivyo lielezea ndugu yangu, Jile 79, hapo juu" An intelligent person is someone who is willing and have the ability to translate the environment surrounding him/her into such a way it is beneficial to him and the society in general. Twambie elimu yako ilichosaidia "Ubinadamu na taifa lako" na sio mkoa wako au kabila lako. Haya ndiyo yanyosababisha ujenzi wa viwanja vya .......... kule kusikokokuwa na faida za mapema.
You are absolutely right!
 
Ungetuambia wamegundua nini walau hata kutengeneza solar panel zitufae maisha haya unaleta porojo zasifa za kijinga Kama muaya...kwataarifa mkoa Wa kagera ni maskini saana na kupata milo mitatu kwao ni mtihani
 
Ungetuambia wamegundua nini walau hata kutengeneza solar panel zitufae maisha haya unaleta porojo zasifa za kijinga Kama muaya...kwataarifa mkoa Wa kagera ni maskini saana na kupata milo mitatu kwao ni mtihani
Nakuunga mkono, nenda Arusha, Moshi, au Mbeya utaona jinsi watu walivyofanya kwao lakini hawa zimebaki sifa za kipuuzi. Tutajuaje labda mmepewa title kubwa halafu malipo sisimizi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Best student udsm 2014 sio william paschal,,,hapo nakataa maana jamaa namjua ni class mate wangu adv,pcm moshi tech.na hizi taarifa alizikanusha.
 
Hongera yao ila elimu kitu kikubwa sana wakati tu upo hai lkn hata ukasomee mpk mbinguni ukifa hakuna wa kugombania vyeti vyako watu wataendeana mahakamani na kwa waganga kwa ajili ya gari,nyumba na pesa ulizoacha watasahau km ulikuwa msomi mwenye shahada nzito nzito elimu pole pesa imekuzidi ujanja
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Me nimesoma na wahaya kibao ilikuwa mi bogus wote waliishia kidato 4 div 4.... Driver wangu ni mhaya the best driver ever...
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Hizi zama sio za kujisifu kwa kuwa na madigrii mengi, sijui profesa.. tuambie hao uliowataja wamegundua nini kipya katika nyanja zao za kitaaluma. Tanzania au dunia inawatambua kwa kugundua nini?.

Wasomi wetu wengi wameishia kushare taarifa ambazo wengine waligundua. Wao wenyewe hawana kipya..!!
 
Mimi napima akili ya mtu kwa vigezo tofauti....uwezo wa ku-convert oppoitunities into results ni sifa mojawapo. Pia ku-convert challenges into oppirtunities and then into results. Hii haijalishi kuwa umeenda shule au la!

For this reason, siwezi kuwapa wahaya marks nyingi coz hawako vizuri kwenye ku-make life meaningful in terms of tangible results.

Kule Kenya Wajaluo wanaongoza kwa kusoma sana. Lakini katika maisha halisi Wakikuyu wamewaacha mbali Wajaluo ingawa na Wakikuyu nao wameenda shule pia.

Likewise, hapa Tanzania, Wachagga wamewaacha mbali Wahaya kimaisha ingawa na wachagga nao wameenda shule.

Disclaimer: Mimi sio mhaya wala mchagga wala mkikuyu wala mjaluo.
 
Back
Top Bottom