Halafu napingana na mleta uzi kwamba kabila la wakurya linatoka musoma. Wakurya wanatoka Tarime sio Musoma, puliiize.
Pili Hata kama kasema wahaya wanaakili nyingi, so what?!. Hili nalo mnabishana?!
Sasa kama kasema wahaya wanazo akili nyingi nyie mnapungukiwa nini kwa yeye kusema hivyo tu?! Alikuwa anatoa maoni yake,kamaliza mumpigie makofi.
Hakusema akili za nini labda kuiba, nyie mmekazana kupinga.
Pili Hata kama kasema wahaya wanaakili nyingi, so what?!. Hili nalo mnabishana?!
Sasa kama kasema wahaya wanazo akili nyingi nyie mnapungukiwa nini kwa yeye kusema hivyo tu?! Alikuwa anatoa maoni yake,kamaliza mumpigie makofi.
Hakusema akili za nini labda kuiba, nyie mmekazana kupinga.