Haya bei hizo kwa wale wasafiri wa ATCL

Kwa taarifa hii Moderator futeni huu uzushi umewekwa huyu Wakudadavuwa
 
Kama ni one way inawezekana. Ngoja niangalie website yao.
Hiyo ni one way...halafu user interface ya website ya atcl inabidi iboreshwe...kufanya booking nimetumia dakika 30 kutafuta flight, nimeambiwa 'loading' kwa zaidi ya dakika 30 hadi kukata tamaa.
Ndiyo maana nimekuwa nikiuliza kufahamu strategic plan ya kufufua atcl inahusu ununuzi wa ndege tu?
 

Attachments

  • image.jpeg
    258.5 KB · Views: 30
Dar-Kigoma...one way ni 460,000 tu
 

Attachments

  • image.jpeg
    208.1 KB · Views: 25
Uchumi wa Kati tutaufikia, Usafiri wa muda mfupi kwenda mwanza na Arusha unafanya biashara na kurudi Dar siku hiyo hiyo.

Hapa kazi tu .

Haaaah leta tangazo lenyewe tuone........

Huu ni kama uchochezi tuuu....
 
Mbona hii nauli ya mwendo kasi ni nzuri sana na bus la Scandinavia enzi mafisadi wamewekeza kule
 
Mara nyingine nawe unamatatizo sana! Unajuaje kama alieleta hii habari ni kutoka Lumumba na sio kutoka Ufipa wakiongozwa na Ben saanane na mwezake yericko
 
Ama ni mbinu ya kibiashara mleta mada ametumika tu kuweka hii humu kama kipima joto kutaka kuona wadau tutasemaje kuhusu bei wanazotegemea bodi kuweka.

Kwa mtazamo wangu hiyo nauli iko juu, nimewahi kupanda Precision Air Dar - Mwanza kwa sh 60000 kwa booking ya mapema.
 
Wa
Walishaleta ndege!!! Ni akina nani hao? Pengine ni kwa upuuzi wangu pekee. Awali nilifikiri hizi ndege zimeletwa na serikali yetu na kumbe kuna baadhi ya raia hapa hapa wenyewe wanahisi serikali hii si yao na wanasubili pengine serikari ya kwao. Chuki, ujinga, upumbavu na upuuzi wote umewajaa. Wako tayari kufanya hata usaliti wowote kwa nchi ili ionekane walioko madarakani wamefeli. Aibu na ujinga wa kiasi cha kutisha.
 
MODE TAFADHALI IONDOE HII MADA HAINA TIJA YOYOTE.
 
Sasa kama hiyo ni ofa bei halali ni sh ngapi.?
 
mkuu,najua wewe na najmunisa ni kama mate na ulimi,hutapanda ndege kwenda mwanza
Dogo kwa hiyo hadi kuwe na online booking system?...unatawaliwa na chuki,hasira....sasa hapo kilichokuudhi nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…