Haya chukueni upesi haya yafuatayo kutoka kambini huko nchini Ivory Coast

Haya chukueni upesi haya yafuatayo kutoka kambini huko nchini Ivory Coast

Juzi nikiwa natoka mihangaikon nikafika steshen posta nichukue usafir kurud nyumbani, nikakuta hiz usafir binafsi nikaingia safar. Tulikua watatu na dereva sasa tunapiga stori za game ya jion ya sis na morocco. Kila mtu analalamika kuhusu kocha na matamshi ya karia. mimi pale nyuma nilikua na mzanzibar mmoja hiv baada ya kulalamika sana, akasema huyu kocha lazima nimchafue sana ngoja warudi, akatoa simu akawa anachat watsap na moja ya top4 people katika waalimu waandamiz wa kikosi akawa ananionyesha kabisa na kunambia kuwa wana uhusiano wa karibu. Na yule mwalimu (jina kapuni) akawa anajibu text kuhusu mambo ya timu huko waliko katika uwaz sana ambapo binafsi nikaona it is not right kabisaa.. anamtumia na picha nawaona akina samata na other huko afcon

How come just a no body anaweza akawa ana influence maamuz ya viongoz katika masuala yenye mustakabali wa taifa.

Toka juz nikaanza kumuani Genta pale anaposema anavyo vyanzo vya ndani kabisaaa pale simba au tff.

Yan wajinga wana leak information kirahis mnoooo in the namw of ushkaji na kujuana.
Haina shida hiyo hata serikalini, jeshini, polisi watu Wana watu wao muda mwingine mambo yanazidi nashindwa kuzijuia hujasikia mtaani classified dokomenti zikivuja
Anyway, kwa mtazamo wako kochavmkuu unamuelewa?
 
Plan ilikua kupunguza athari na goli tulizofunhwa ni chache kulingana na ubora wa mpinzani tuliye cheza naye.
Credit kwa kocha na wachezji wamejituma na wamepunguza maafa.
Kucheza rafu si mpango wa mwalimu bali ni kuzidiwa maarifa katika kucheza.
We nae, hujaona msumbiji kuwapiga misri waliponea chukuchuku, Namibia kuwadungua Tunisia, lengovla la michuona hiii ni kuwapa vijana fursa ya kutangaza vipaji vyao ili wapate soko la kimataifa na wawekezaji kupata sehemu ya kuelekeza mitaji yao, michuona ikiisha tanzania tutapata nini
 
Plan ilikua kupunguza athari na goli tulizofunhwa ni chache kulingana na ubora wa mpinzani tuliye cheza naye.
Credit kwa kocha na wachezji wamejituma na wamepunguza maafa.
Kucheza rafu si mpango wa mwalimu bali ni kuzidiwa maarifa katika kucheza.
Kocha hatufai huyu
 
Kocha alishawaambia MACCM yameenda kutalii.....mmesahau.
 
kocha yoyote mwenye akili timamu hawezi kumpanga huyu kenge Kibu Denis. Mchezaji anatumia nguvu asilimia 99 na akili salimia 1 pekee wa nini sasa. Toka abadili uraia hakuna added value yoyote kwenye national team.
 
1. Kocha wenu ambaye pia ni dalali ameshafanya kutompanga kabisa mchezaji Kibu Denis katika mechi za Afcon kwakuwa amekataa kuwa wakala wake na hata ikitokea akaanza kumpanga kuanzia mechi ya Zambia na Congo DR itakuwa ni kwa kutuzuga tu ila hatompa dakika 90 bali atampa nusu tu yaani dakika 45

2. kocha wenu dalali kwa kumkomoa mchezaji mpambanaji Kibu Denis kaamua kumpa nafasi mchezaji wake anayamdalalia aitwae Charles Mmombwa kwa kumpa dakika zote 90 kwa mechi zote tatu huko Afcon nchini Ivory Coast

3. Kocha wenu mkuu na dalali hana maelewano mazuri na kocha msaidizi mzawa Hemed Morocco na kwamba juzi kocha msaidizi huyo alipokuwa nae akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu ya taifa ( taifa stars ) alimtukana kama mtoto mdogo

4. Kwa sasa hakuna mahusiano mazuri kati ya nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta ( captain Diego ) na kocha mkuu wenu dalali baada ya ile juzi wakati mechi dhidi ya wanaojua hadi wanakera Morocco kumshauri kocha mkuu wenu dalali kuwa awaingize haraka akina Simon Msuva na Kibu Denis ( dakika za awali za kipindi cha kwanza ) ili asaidiane nao kimashambulizi kule mbele na akakataa japo kinafiki baadae akamuingiza Msuva

5. Kocha msaidizi mwingine mzawa Juma Mgunda juzi wakiwa kambini walijibizana na kocha mkuu wenu dalali baada ya Mgunda kumwambia asipange kikosi cha kuzuia bali apange kikosi cha kujilipua kwani hatuna cha kupoteza na awaanzishe akina Feisal Salum, Simon Msuva na Kibu Denis ila kocha mkuu akamkatalia huku akimfokea na kuamuru kuwa kocha Mgunda asikae pale benchini wakati wa mechi na akakae juu jukwaani

6. Wachezaji wote wa timu ya taifa ( taifa stars ) wamelalamika kuwa tokea waende kambini kule Misri na hata huko mashindanoni Ivory Coast hawamuelewi kocha mkuu pamoja na mafundisho yake

7. Kadi nyekundu aliyoipata Novatus ni ya kimkakati na tegemeeni pia mechi ya Zambia mchezaji mwingine tegemeo kuipata au kujifanya kaumia ili atolewe na apumzike asije kupata majeraha na akajiharibia kibarua chake cha maana huko ulaya mbinu ambayo hata Novatus nae kaitumia baada ya kuona hakuna kocha mkuu bali kuna mpuuzi fulani tu aliyeaminiwa kuwaongoza na kuwasimamia lakini hana utaalam wala ujuzi wowote

Nawatakia kila la kheri Zambia na Congo DR pale wakicheza na Tanzania na naamini akina Musonda, Chama, Mayele na Inonga hawatoniangusha kabisa mshkaji wao cognizant mimi
Mbona humsemi kwa kumpanga golini mchovu Manula anayefurahua kupigwa robo, na Mohamed Husseni babu!
 
Huyu kocha ni Nani amemleta ? Usikute ni dalali ameleta dalali .
 
Samatta hata akiwa PAOK hamalizagi dakika 90...anayebisha anipe ushahidi hata mmoja..na sio PAoK tu hata kule Royal Antwerp.

Sasa kwann leo iwe nongwa kutolewa?
Duh,mpira una kazi kuujua...kwahiyo kwakuwa kule PAOK hamalizi dakika 90 na huku asimalize.....unafanya sub kwa kuangalia hali ya mchezo au kwa kuangalia historia?

SHULE MLIENDAGA KUSOMEA UJINGA?
 
Hata mimi kocha nimeamza kumshtukia kwakweli. Haiwezekani Kibu asianze tena anayeanza ni mchezaji wa kawaida sana kwa Kibu. Haeleweki mpango wake ilikua ni nini kushambulia au kulinda tu.
Kibu ana kitu gani cha ziada hasa? au ni hisia zetu
 
kocha yoyote mwenye akili timamu hawezi kumpanga huyu kenge Kibu Denis. Mchezaji anatumia nguvu asilimia 99 na akili salimia 1 pekee wa nini sasa. Toka abadili uraia hakuna added value yoyote kwenye national team.
Hata kumwita kwenye timu mchezaji mwenye kiwango kama Kibu ni utaahira
 
1. Kocha wenu ambaye pia ni dalali ameshafanya kutompanga kabisa mchezaji Kibu Denis katika mechi za Afcon kwakuwa amekataa kuwa wakala wake na hata ikitokea akaanza kumpanga kuanzia mechi ya Zambia na Congo DR itakuwa ni kwa kutuzuga tu ila hatompa dakika 90 bali atampa nusu tu yaani dakika 45

2. kocha wenu dalali kwa kumkomoa mchezaji mpambanaji Kibu Denis kaamua kumpa nafasi mchezaji wake anayamdalalia aitwae Charles Mmombwa kwa kumpa dakika zote 90 kwa mechi zote tatu huko Afcon nchini Ivory Coast

3. Kocha wenu mkuu na dalali hana maelewano mazuri na kocha msaidizi mzawa Hemed Morocco na kwamba juzi kocha msaidizi huyo alipokuwa nae akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu ya taifa ( taifa stars ) alimtukana kama mtoto mdogo

4. Kwa sasa hakuna mahusiano mazuri kati ya nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta ( captain Diego ) na kocha mkuu wenu dalali baada ya ile juzi wakati mechi dhidi ya wanaojua hadi wanakera Morocco kumshauri kocha mkuu wenu dalali kuwa awaingize haraka akina Simon Msuva na Kibu Denis ( dakika za awali za kipindi cha kwanza ) ili asaidiane nao kimashambulizi kule mbele na akakataa japo kinafiki baadae akamuingiza Msuva

5. Kocha msaidizi mwingine mzawa Juma Mgunda juzi wakiwa kambini walijibizana na kocha mkuu wenu dalali baada ya Mgunda kumwambia asipange kikosi cha kuzuia bali apange kikosi cha kujilipua kwani hatuna cha kupoteza na awaanzishe akina Feisal Salum, Simon Msuva na Kibu Denis ila kocha mkuu akamkatalia huku akimfokea na kuamuru kuwa kocha Mgunda asikae pale benchini wakati wa mechi na akakae juu jukwaani

6. Wachezaji wote wa timu ya taifa ( taifa stars ) wamelalamika kuwa tokea waende kambini kule Misri na hata huko mashindanoni Ivory Coast hawamuelewi kocha mkuu pamoja na mafundisho yake

7. Kadi nyekundu aliyoipata Novatus ni ya kimkakati na tegemeeni pia mechi ya Zambia mchezaji mwingine tegemeo kuipata au kujifanya kaumia ili atolewe na apumzike asije kupata majeraha na akajiharibia kibarua chake cha maana huko ulaya mbinu ambayo hata Novatus nae kaitumia baada ya kuona hakuna kocha mkuu bali kuna mpuuzi fulani tu aliyeaminiwa kuwaongoza na kuwasimamia lakini hana utaalam wala ujuzi wowote

Nawatakia kila la kheri Zambia na Congo DR pale wakicheza na Tanzania na naamini akina Musonda, Chama, Mayele na Inonga hawatoniangusha kabisa mshkaji wao cognizant mimi
NYANI NI NYANI TU HATA AKIWA ULAYA NI NYANI TU CC WAFRICA TUNAFANANISHWA NA MANYANI KWASABABU YA AKILI ZETU. HUYU ALIYEANDIKA HAPA NDO NYANI MWENYEWE
 
We nae, hujaona msumbiji kuwapiga misri waliponea chukuchuku, Namibia kuwadungua Tunisia, lengovla la michuona hiii ni kuwapa vijana fursa ya kutangaza vipaji vyao ili wapate soko la kimataifa na wawekezaji kupata sehemu ya kuelekeza mitaji yao, michuona ikiisha tanzania tutapata nini
Hivi uwa mnafuatilia ao msumbiji au Namibia mjue wachezaji wao wanao shiriki kwenye Aya mashindano wameitwa wakitokea vilabu Gani? Msikurupuke kujifananisha na timu ambazo Zina wazizidi bila kujua kwanini zinawazidi na zinawazidi katika maeneo Gani.
Sisi Tanzania kwa maana ya kuwa na wachezji wanao tokea katika ligi zenye ushindani ni wa mwisho katika timu shiriki.
Sisi tunajivunia ligi yetu kuwa ya Tano Afrika wenzetu ao wachezaji wengi hawachezi Afrika na kama wapo wachache wanao cheza basi wanaocheza ligi zenye ushindani mkubwa kuliko yetu.
 
Kwa wachezaji waliopo kikosini hakuna mchezaji wa kumuweka benchi Kibu Denis Prosper labda kama kuna namna nyingne ila kiukweli Kibu D ni wakucheza dk 90 kila game ya stars
 
1. Kocha wenu ambaye pia ni dalali ameshafanya kutompanga kabisa mchezaji Kibu Denis katika mechi za Afcon kwakuwa amekataa kuwa wakala wake na hata ikitokea akaanza kumpanga kuanzia mechi ya Zambia na Congo DR itakuwa ni kwa kutuzuga tu ila hatompa dakika 90 bali atampa nusu tu yaani dakika 45

2. kocha wenu dalali kwa kumkomoa mchezaji mpambanaji Kibu Denis kaamua kumpa nafasi mchezaji wake anayamdalalia aitwae Charles Mmombwa kwa kumpa dakika zote 90 kwa mechi zote tatu huko Afcon nchini Ivory Coast

3. Kocha wenu mkuu na dalali hana maelewano mazuri na kocha msaidizi mzawa Hemed Morocco na kwamba juzi kocha msaidizi huyo alipokuwa nae akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu ya taifa ( taifa stars ) alimtukana kama mtoto mdogo

4. Kwa sasa hakuna mahusiano mazuri kati ya nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta ( captain Diego ) na kocha mkuu wenu dalali baada ya ile juzi wakati mechi dhidi ya wanaojua hadi wanakera Morocco kumshauri kocha mkuu wenu dalali kuwa awaingize haraka akina Simon Msuva na Kibu Denis ( dakika za awali za kipindi cha kwanza ) ili asaidiane nao kimashambulizi kule mbele na akakataa japo kinafiki baadae akamuingiza Msuva

5. Kocha msaidizi mwingine mzawa Juma Mgunda juzi wakiwa kambini walijibizana na kocha mkuu wenu dalali baada ya Mgunda kumwambia asipange kikosi cha kuzuia bali apange kikosi cha kujilipua kwani hatuna cha kupoteza na awaanzishe akina Feisal Salum, Simon Msuva na Kibu Denis ila kocha mkuu akamkatalia huku akimfokea na kuamuru kuwa kocha Mgunda asikae pale benchini wakati wa mechi na akakae juu jukwaani

6. Wachezaji wote wa timu ya taifa ( taifa stars ) wamelalamika kuwa tokea waende kambini kule Misri na hata huko mashindanoni Ivory Coast hawamuelewi kocha mkuu pamoja na mafundisho yake

7. Kadi nyekundu aliyoipata Novatus ni ya kimkakati na tegemeeni pia mechi ya Zambia mchezaji mwingine tegemeo kuipata au kujifanya kaumia ili atolewe na apumzike asije kupata majeraha na akajiharibia kibarua chake cha maana huko ulaya mbinu ambayo hata Novatus nae kaitumia baada ya kuona hakuna kocha mkuu bali kuna mpuuzi fulani tu aliyeaminiwa kuwaongoza na kuwasimamia lakini hana utaalam wala ujuzi wowote

Nawatakia kila la kheri Zambia na Congo DR pale wakicheza na Tanzania na naamini akina Musonda, Chama, Mayele na Inonga hawatoniangusha kabisa mshkaji wao cognizant mimi
Nani anajali!
 
Back
Top Bottom