jovas jonathan
Senior Member
- Apr 7, 2019
- 193
- 275
Haina shida hiyo hata serikalini, jeshini, polisi watu Wana watu wao muda mwingine mambo yanazidi nashindwa kuzijuia hujasikia mtaani classified dokomenti zikivujaJuzi nikiwa natoka mihangaikon nikafika steshen posta nichukue usafir kurud nyumbani, nikakuta hiz usafir binafsi nikaingia safar. Tulikua watatu na dereva sasa tunapiga stori za game ya jion ya sis na morocco. Kila mtu analalamika kuhusu kocha na matamshi ya karia. mimi pale nyuma nilikua na mzanzibar mmoja hiv baada ya kulalamika sana, akasema huyu kocha lazima nimchafue sana ngoja warudi, akatoa simu akawa anachat watsap na moja ya top4 people katika waalimu waandamiz wa kikosi akawa ananionyesha kabisa na kunambia kuwa wana uhusiano wa karibu. Na yule mwalimu (jina kapuni) akawa anajibu text kuhusu mambo ya timu huko waliko katika uwaz sana ambapo binafsi nikaona it is not right kabisaa.. anamtumia na picha nawaona akina samata na other huko afcon
How come just a no body anaweza akawa ana influence maamuz ya viongoz katika masuala yenye mustakabali wa taifa.
Toka juz nikaanza kumuani Genta pale anaposema anavyo vyanzo vya ndani kabisaaa pale simba au tff.
Yan wajinga wana leak information kirahis mnoooo in the namw of ushkaji na kujuana.
Anyway, kwa mtazamo wako kochavmkuu unamuelewa?