Haya Hapa Maeneo Yenye Wife Material Tanzania.

Haya Hapa Maeneo Yenye Wife Material Tanzania.

Kigoma hii ambayo binti wa miaka 20 tayari ametembea na wanaume wasiopungua watano au?

Huo ubishi ndani utauvumilia? Hizi tafiti huwa mnazifanyia wapi?

Hakuna mkoa wenye mabinti rahisi kulika kama Kigoma,Tabora na Tanga.
Ulikutana na wadangaji
 
Hiyo Tabora ondoa kwenye orodha.....
 
Katika dini zote? Mapadri sijui ni wapagani sikuhizi
Wale wapo special kwa kazi ya kujenga kanisa katoliki, uzuri mimi ni mchagga mkatoliki...kipele kimepata mkunaji😅
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.

Watu wanalilia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.

bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Lindi, Tabora, Ruvuma, Singida wamekupa nini?
Kwenye ubora waongeze Rukwa,
ila Mbeya my sweet home hahahaha! But my mom was exceptional nafikiri masalia wapo pia
 
Lindi, Tabora, Ruvuma, Singida wamekupa nini?
Kwenye ubora waongeze Rukwa,
ila Mbeya my sweet home hahahaha! But my mom was exceptional nafikiri masalia wapo pia
Sawa Rukwa added, My sweet home ni Kili lakini sijawa biased, mbeya wanawake wenu sio mchezo wasikie tu.
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.

Watu wanalilia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.

bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Tabora 😀😀😀😀unawafahamu wanyamwezi au unawaona kwenye picha?
 
Back
Top Bottom