Haya Hapa Maeneo Yenye Wife Material Tanzania.

Haya Hapa Maeneo Yenye Wife Material Tanzania.

Wa Kilimanjaro magogo watamu [emoji39]
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.

Watu wanalilia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.

bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Umejitahidi
 
Wife material anapatika mkoa wowote jambo kubwa malezi toka kwa wazazi ama walezi wake na yeye huona lipi jema kwake na kwa utashi wake hutendaje na kufikiri vipi
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.

Watu wanalia lia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.

bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Bila kutaja mkoa wa Njombe, uzi ni batili.
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.

Watu wanalia lia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.

bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Tanga na Singida kubali yote hapo kuchapiwa kitu cha kawaida
 
Back
Top Bottom