daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Habarini wanandugu
Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, jatika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa.
Nazo ni:-
1) Sare ya shule
2) Joho la graduation
3) Gauni la harusi
4) Martenity Dress [nguo ya mjamzito]
Hata hivyo kama ukiruka ya kwanza hutapata nafasi ya kuvaa ya pili
Usikimbilie kuvaa ya nne eti kisa mtu amekuahidi ya tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, jatika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa.
Nazo ni:-
1) Sare ya shule
2) Joho la graduation
3) Gauni la harusi
4) Martenity Dress [nguo ya mjamzito]
Hata hivyo kama ukiruka ya kwanza hutapata nafasi ya kuvaa ya pili
Usikimbilie kuvaa ya nne eti kisa mtu amekuahidi ya tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app