Haya haya kumekucha, China yatoa msaada wa chakula tena, Wakenya wakasirika

Subutu...kw unafiki mliokua nao
 
Subutu...kw unafiki mliokua nao
Mbona tuliwapeni Tausi ambao ni wachache na ni fahari ya Tanzania, vipi tushindwe kuwapa chakula ambacho kimejaa katika mashamba na katika ghala zetu hatujui wapi tukipelekee?, mwishowe kitaoza.

Kama ambavyo Uhuru Kenyatta alipata ujasiri wa kuomba apewe Tausi kupendezesha Ikulu, atumie ujasiri huo huo kuomba chakula.
 
Mungu awabariki waChina kwa moyo wa upendo waliouonesha kwa ndugu zetu wa Kenya.
 
Uhuru kenyatta haombi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwn unafikiria aliwapa misaada mara ngapi...jiwe mwenyewe ywajua kabisa km hawez toa msaada kenya...

Yeye kaalikwa na tausi kapewa...yani kw kujipendekeza jiwe...yuko vizuri
 
Uhuru kenyatta haombi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwn unafikiria aliwapa misaada mara ngapi...jiwe mwenyewe ywajua kabisa km hawez toa msaada kenya...

Yeye kaalikwa na tausi kapewa...yani kw kujipendekeza jiwe...yuko vizuri
Anachekacheka tu!?. Hahahaha.
 
Vile wakenya hujibu wakiulizwa kuhusu njaa.

CC: MK254 komora096

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • Vile wakenya wanavyojibu wakiulizwa njaa.mp4
    5.3 MB
Bwahahaaaa...mnafiki hyo jiwe..aliona aibu kumualika akili kubwa kisha arudi mikono mitupu..kaona ampe tausi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa tausi kw kenyatta ni nn jamani
Anachekacheka tu!?. Hahahaha.
 
Bwahahaaaa...mnafiki hyo jiwe..aliona aibu kumualika akili kubwa kisha arudi mikono mitupu..kaona ampe tausi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa tausi kw kenyatta ni nn jamani
Kitoweo murua kwenye baa hili la njaa!
 
Hahaaaa!!maskini...umekosa la kusema...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwahahaaaa...mnafiki hyo jiwe..aliona aibu kumualika akili kubwa kisha arudi mikono mitupu..kaona ampe tausi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa tausi kw kenyatta ni nn jamani
 
ndege tunailipia inaachiwa na msaada wa chakula tunawapa,hii ndio ldc ya kipekee kabisa hapa duniani.

wakati huo mambo kibao tunaendelea ku fund kwa pesa zetu,upo middle income citizen[emoji16][emoji16][emoji16]
Change hela mkaikomboe Ndege kwa pesa "zetu" 😂
 
Nakumbuka walizuia Mchele kutoka Tanzania kwa makusudi tu
 
Watawaliwa Kenya mna kazi kweli. Mnakataa misaada toka kwa wafrika mnapokea ya wachina!
 
Sisi sio kama LDC hiyo wenu wewe mpenda giza Joto la Kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…