komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Subutu...kw unafiki mliokua nao
Tena tunaweza kuwapa chakula kingi zaidi ya hizo gunia 30,000 walizopewa na China. Kama tuliweza kupeleka malaki ya tani huko Msumbiji, Zimbabwe na Malawi, vipi tushindwe kuwapa wakenya tani laki mbili za vyakula mchanganyiko?. Tunachohitaji ni Uhuru Kenyatta kuleta ombi rasmi la kuomba msaada.