Haya huwezi kupiga Bao la Mimba, andaa Shilingi Milioni 14 zako Muhimbili Hospitali wakupigie Bao lao upate Mtoto

Haya huwezi kupiga Bao la Mimba, andaa Shilingi Milioni 14 zako Muhimbili Hospitali wakupigie Bao lao upate Mtoto

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkurugenzi wa Huduma za upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt Rachel Mhavile amesema Mnamo Septemba 24, 2024 serikali ilifanikiwa Kwa Mara ya Kwanza kuanzisha Kituo Cha upandikizaji wa mimba katika Hospitali za Umma Nchini ambacho kimegharimu Bilioni 1.72

Amesema katika kipindi Cha miezi mitatu tangu kuanzishwa Kwa Huduma hiyo Familia zaidi ya Nane zimejitokeza kupata huduma hiyo na kuongeza kuwa gharama za upandikizaji mimba ni Shilingi Milioni 14.

Chanzo: manaratv

Mkiambiwa mtuheshimu sana Wanaume tunaozalisha Wanawake hovyo hamtaki wakati tuko wachache wenye Uwezo.
 
Tupo na kamati ya katandaa tukijadiliana ili swala kuongeza mswada kataa mimba mfano wa kuku asiye na mama
IMG_0745.jpeg
 
Lisaa limoja au nusu saa kabla ya tendo, Chukua tangawizi kipande, punje tatu za vitunguu saumu, tango moja, kitunguu maji kimoja

Safisha na kukatakata viambata hivyo na kuweka kwenye blenda, utaongeza maji glass moja na utasaga ili kupata juisi

Utachuja na itakuwa tayari kwa matumizi, kumbuka unatumia nusu saa au lisaa kabla ya tendo

Hii ni juisi (tiba) nzuri sana kwa wanaume wanaokosa hisia na kufeli kurejea kwa haraka baada ya bao la kwanza.
Acha nyeto na ma porno boya wee
 
Tafuta Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja, Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande], Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake], Unga wa msamitu vijiko nane, Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane, Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.


Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa 6, itakuwa tayari kwa matumizi

MATUMIZI:
Utakuwa ukilamba/kula vijiko viwili asubuhi unapoamka kabla hujala chochote, na usiku utatumia tena vijiko vitatu kabla ya kulala

Nikukumbushe kwamba hii tiba yako ni kwa ajili ya changamoto zako zote za upungufu wa nguuuvu za kiume.

Kuanzia kwenye kuongeza wingi na ubora wa manii, kuondoa athari zilizotokana na upigaji punyeto na kuongeza kiwango cha msisimko ktk tendo la ndoa.
 
Lisaa limoja au nusu saa kabla ya tendo, Chukua tangawizi kipande, punje tatu za vitunguu saumu, tango moja, kitunguu maji kimoja

Safisha na kukatakata viambata hivyo na kuweka kwenye blenda, utaongeza maji glass moja na utasaga ili kupata juisi

Utachuja na itakuwa tayari kwa matumizi, kumbuka unatumia nusu saa au lisaa kabla ya tendo

Hii ni juisi (tiba) nzuri sana kwa wanaume wanaokosa hisia na kufeli kurejea kwa haraka baada ya bao la kwanza.
Acha nyeto na ma porno boya wee
Hii nitaijaribu Ijumaa (Kesho) jioni kwani kuna Mbunye moja ya Kinyankole (Mbarara) na Kitoro (Fort Portal) inakuja Kuliwa.
 
Tafuta Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja, Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande], Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake], Unga wa msamitu vijiko nane, Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane, Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.


Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa 6, itakuwa tayari kwa matumizi

MATUMIZI:
Utakuwa ukilamba/kula vijiko viwili asubuhi unapoamka kabla hujala chochote, na usiku utatumia tena vijiko vitatu kabla ya kulala

Nikukumbushe kwamba hii tiba yako ni kwa ajili ya changamoto zako zote za upungufu wa nguuuvu za kiume.

Kuanzia kwenye kuongeza wingi na ubora wa manii, kuondoa athari zilizotokana na upigaji punyeto na kuongeza kiwango cha msisimko ktk tendo la ndoa.
Na Wewe unatuchanganya sana na Maelezo yako ambayo kila wakati unayabadilsha badilisha tu. Sasa tushike lipi labda?
 
Back
Top Bottom