Haya mabango ya ccm yanakera sana kwenye soka. SIMBA NA YANGA ACHENI HUU USHENZI

Mpaka mihogo ya chips dume ikikosekana huko Bungu na Msanga ndio watu watapata kujua hali sio nzuri kitaa !!!
 
Mpaka mihogo ya chips dume ikikosekana huko Bungu na Msanga ndio watu watapata kujua hali sio nzuri kitaa !!!
Sio kwa bongo hii, yani watanzania hatuna Meno ya kung'ata hata serikali iseme chochote kibovu wengi wanabaki kulalamika mitandaoni na Vyumbani tu
 
Umesahau ya chadema na katiba mupya mwanza?
 
Usimba uyanga ndiyo inatumika
Kuwa hadaa watu
Hapo watu wakishapelekewa matamaha hayo wana sahau shida zote....
Sahvi wameongezea wasanii wa mziki pia....
We huoni bongo kuanzia asubuhi mpaka usiku watu ni ubishi simba yanga

Ova
 
Katika hizo timu kuna watu wa kazi maalum kama ilivyo kwenye mikutano, mijadala ya media, na hafla nyingi za kijamii.

Atakayeingia uwanjani na bendera za CDM na msafara wake ataanzishiwa vagi na “mashabiki” kisha kuzolewa na polisi na kufunguliwa chaji ya kutaka kufanya ugaidi kwenye mechi ya wananchi kulingana na intelijensia makini inayofuatiliwa na jeshi kakamavu - sio kwa kuja na bendera za CDM.

Hii ndio Tanzania ya leo. Ukiwa mshabiki au msemaji mwenye kelele nyingi hakikisha unakuwa upande sahihi - kwa afya yako.
 
Sisi mashabiki wa simba wala hatujali hata kama wakivaaa sare za CCM uwanjani.

Trh 13 lazima tulipize kisasi uto wasituzoeee
 
Umegusa penyewe, nahapo kwenye mashabiki wapo mamluki hapa naongea walioingia kama mashabiki wa timu flani kumbe ni maccm halafu Kuna mashabiki wa timu wenyewe ambao nao pia wataungana kukuzonga wewe mwenye bendera ya CDM ili tu kufrahisha viongozi wao wa mpira kama manara na GSM maana ndomifisiemu yenyewe. Hapo ndipo utajuta kuzaliwa kwenye hili Taifa la ukuda [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wanahamasisha sensa...
Kwani haya mabango yameanza Leo, yale ya 2021 yalihamasisha sensa pia au yalihamasisha kipipinyo chako. Lipicha la kinana ni sensa nayo, mama anaupiga mwingi hiyo ni sensa!? Au kisa umekiona kibango kimoja tu kimeandikwa neno sensa basi umeruka nacho. Idiot [emoji35]
 
Haya mabango ni ishara wtz tuna akili ndogo sana. Yani hatuwezi kufanya jambo lolote bila unafiki na kulamba watu miguu!!!?? katika nchi za maziwa makuu wajinga wengi wapo tz
 
Ndo maana yanafungwa, hizi timu Hasa simba na yanga zinaleta zinaleta siasa kwenye soka BILA kujali kwamba katika mashabiki wao wengine hawana vyama na wengine wanaitikadi na tofauti za vyama, shame on them
Ni wapi umeiona picha ya Simba hapo? sema Yanga Utopolo ndio mazwazwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…