Haya machafuko yaliyoko Ufaransa kama yangetokea China au Urusi mabeberu wangeshangilia sana, kama walivyoshangilia uasi wa Wagner

Haya machafuko yaliyoko Ufaransa kama yangetokea China au Urusi mabeberu wangeshangilia sana, kama walivyoshangilia uasi wa Wagner

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya, maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17.

Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa. Fujo usiku kucha. Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
 
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya ,maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17!! Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa!! Fujo usiku kucha!! Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
Kama wao ni mabeberu basi nyie ni majike mnazalishwa kwa hiari
 
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya ,maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17!! Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa!! Fujo usiku kucha!! Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
Shida Urusi na China hawachelewi kusingizia mkono wa mabeberu kana kwamba hawaelew malalamiko ya wananchi wao
 
KWANI SHIDA IKO WAPI? SIDHANI KAMA WARUSI WAMEZUIWA KUSHANGILIA MACHAFUKO HAYO.
HATA WARUSI WA BUZA MNARUHUSIWA
 
Nimekuwa nikiangalia Western media kama vile BBC ,DW CNN,SKY NEWS,FRANCE 24. Vyombo vyote hivi vina ajenda moja kushambulia,kukosoa,kudhihaki,kupaka matope taifa au mtawala anayeenda tofauti na sera au ajenda zao. Lakini pia ni kukuza mabaya ya mataifa mengine.
Kwa kinachoendelea Ufaransa jamaa hawezi kukiweka kama ingekuwa China,Russia,Iran,n.k. Sasa hivi wanaiandama South Africa Kwa mbali.
 
Nimekuwa nikiangalia Western media kama vile BBC ,DW CNN,SKY NEWS,FRANCE 24. Vyombo vyote hivi vina ajenda moja kushambulia,kukosoa,kudhihaki,kupaka matope taifa au mtawala anayeenda tofauti na sera au ajenda zao. Lakini pia ni kukuza mabaya ya mataifa mengine.
Kwa kinachoendelea Ufaransa jamaa hawezi kukiweka kama ingekuwa China,Russia,Iran,n.k. Sasa hivi wanaiandama South Africa Kwa mbali.
Ila South Africa naona wanaiheshimu kwa kiasi fulani sijajua kwa nini!!
 
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya, maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17.

Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa. Fujo usiku kucha. Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
Kwani Urusi ameshazoea kuuawa watoto Ukraine kila kukicha
 
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya, maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17.

Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa. Fujo usiku kucha. Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
Haya maandamano yangetokea Urusi au china mngesema kuna mkono wa Magharibi au Marekani
 
[emoji1787]
1688109436508.jpg


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 

Watch: Health centre in Lille completely destroyed​

Video content​


Video caption: France riots: Lille health centre destroyedFrance riots: Lille health centre destroyed
The BBC's Sofia Bettiza is in the northern city of Lille, where overnight rioters burned a health facility.
 
Ufaransa kuna machafuko makubwa ya, maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17.

Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa. Fujo usiku kucha. Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa nguvu!!

  1. The violence began when police shot dead a 17-year-old boy during a traffic stop.
  2. Curfew announced on outskirts of Paris​

    With authorities anticipating another night of violence, it's just been announced that there'll be curfews in some areas of Paris - on top of the closure of tram and bus services.
Washangilie sasa tuone furaha yao ambayo tungeiona yangetokea Russia
 
Nimekuwa nikiangalia Western media kama vile BBC ,DW CNN,SKY NEWS,FRANCE 24. Vyombo vyote hivi vina ajenda moja kushambulia,kukosoa,kudhihaki,kupaka matope taifa au mtawala anayeenda tofauti na sera au ajenda zao. Lakini pia ni kukuza mabaya ya mataifa mengine.
Kwa kinachoendelea Ufaransa jamaa hawezi kukiweka kama ingekuwa China,Russia,Iran,n.k. Sasa hivi wanaiandama South Africa Kwa mbali.
Mfano wa Sera na ajenda za Western ni zipi??
 
Back
Top Bottom