Haya machungwa vipi?

Haya machungwa vipi?

Jana tu na mimi nilikua najiuliza. Chungwa kubwa kweli kweli lakini ukimenya ndani lipo hivyo.
 
Hayo utakuwa ulinunua ukiwa safarini.
Nimachungwa makubwa af ndani makavu ilishanikuta hiyo stendi ya Msamvu. nilinunua zaidi ya kumi nikaja yatupa home.
kifupi Nilibebeshwa taka toka moro kuja kuzitupia temeke.
 
Hayo utakuwa ulinunua ukiwa safarini.
Nimachungwa makubwa af ndani makavu ilishanikuta hiyo stendi ya Msamvu. nilinunua zaidi ya kumi nikaja yatupa home.
kifupi Nilibebeshwa taka toka moro kuja kuzitupia temeke.
Safarini wapi? Barakuda (Tabata)hapo jamaa katega meza yake. Na si sehemu moja. Kila utakaponunua machungwa %kubwa yako hivi
 
Inshort ni kuwa hayo ni matokeo ya kupandikiza mchungwa na mchenza hua linatoka chungwa kubwa ila ndani sasa
Nililijua hilo Tanga
 
Back
Top Bottom