Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nimeisikiliza mara mbilimbili hii Clip, imenifikirisha Sana.
Imenifikirisha kwa kuwa hivi karibuni aliyekuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmedinejad, alisema kuwa, kuna wakati walianzisha kitengo Cha kuipeleleza Israel, lakini mwisho wa siku wakaja gundua kuwa kiongozi wa kitengo hicho ni mtu wa MOSSAD.
Sasa tena inasemekana kuwa kiongozi wa kikosi Cha mapambano ndani ya Jeshi la Iran maarufu kama Quds, naye anatuhumiwa kuwa ni mtoa taarifa za siri kwa Israel.
Anayetuhumiwa safari hii ni Jenerali Is
maili Ghani. Hebu sikiliza hii Clip.
Imenifikirisha kwa kuwa hivi karibuni aliyekuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmedinejad, alisema kuwa, kuna wakati walianzisha kitengo Cha kuipeleleza Israel, lakini mwisho wa siku wakaja gundua kuwa kiongozi wa kitengo hicho ni mtu wa MOSSAD.
Sasa tena inasemekana kuwa kiongozi wa kikosi Cha mapambano ndani ya Jeshi la Iran maarufu kama Quds, naye anatuhumiwa kuwa ni mtoa taarifa za siri kwa Israel.
Anayetuhumiwa safari hii ni Jenerali Is
maili Ghani. Hebu sikiliza hii Clip.