Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi ndo akili mkuu, be carefulJana niliona buguruni mafuta ya kupikia yapo kama ya alizeti kabisa yameenea kila mahali sokoni wanauza 4200 kwa lita jee ni mafuta kweli
Nilitaka kununua ila niliingiwa na wasiwasi sana
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Mkuu mkojo? Sasa si itakuwa mikojo labda ya punda na ng'ombe yaani mifugo ama ya walevi?Wafanya biashara wa dar sio wakuwapa dhamana kabisa, wako tayari kufanya chochote ili wapate hela
hapo usikute kaweka mafuta halisiujazo wa kindude cha soda afu the rest ni mkojo
Kwani huko kwenu bei ya mafuta kwa sasa ni ngapi?!!kwani kwa sasa sehemu nyingi hiyo ndio bei yake, na mbagala hata 4000, unapata.Jana niliona buguruni mafuta ya kupikia yapo kama ya alizeti kabisa yameenea kila mahali sokoni wanauza 4200 kwa lita jee ni mafuta kweli
Nilitaka kununua ila niliingiwa na wasiwasi sana
Nilipo lita moja elfu 6Kwani huko kwenu bei ya mafuta kwa sasa ni ngapi?!!kwani kwa sasa sehemu nyingi hiyo ndio bei yake, na mbagala hata 4000, unapata.
Niko Dodoma nimeyasaka kweli lita 5 tsh 25000 hadi 24000 hajabu pale stendi kuu iliyo nje ya mji wanauza 20 kwa ujazo huo huo nikabaki na maswali tele.Lita ya alizeti huku mikoani inauzwa 5000
Kwa sasa sehemu nyingi yameshuka ila sio ya alizeti nadhani ni korie, 4800 hadi 4000, unapata!!
Unakaa ushuani au wanunua supamaketi ndo maana huku kwetu sisi bei ni 4000