Haya magari ya umeme toka China yanashawishi

Kuliko kuwa na gari ya umeme naona ni afadhali kuwa na gari umefunga CNG...
 
Mkuu ile Nissan Titan inabaki ya masafa na mashambani tu! Au siyo [emoji53][emoji53]
 
Kumbuka sis na Saudia Ni ndugu wa damu. Hata misiba huwa tunaenda kuhani.unategemea atakubali wateja wake wa wese tutumie umeme
 
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
ushubwada hamna kitu labda vya starehe tu
utoke dar mpaka dom kizime kati na uchaji masaa kumi bora hata wanaopaa kwa ungo
 
ushubwada hamna kitu labda vya starehe tu
utoke dar mpaka dom kizime kati na uchaji masaa kumi bora hata wanaopaa kwa ungo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…