Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mimi ni mkereketwa wa CCM , mfurukutwa kada kindaki ndaki na mwanachama pia, hii tabia ya magari yanayopeperusha bendera za Chama kuendeshwa hovyo hovyo kwa kasi bila kujali sheria za barabarani haipendezi.
Ipo siku italeta balaa na siku sio nyingi.
Mfano majuzi pale gari moja ya kiongozi mkubwa tu wa chama pale moroko ilipita bila kuangalia taa na ingemfumua mlemavu mmoja aliekua akivuka bara bara.
Lile tukio lilinisikitisha mno kwakua chama ndio chenye dhamana ya kusimamia serikali na sio kutumia nafasi hiyo kuvunja sheria.
Tujisahihishe.
Ipo siku italeta balaa na siku sio nyingi.
Mfano majuzi pale gari moja ya kiongozi mkubwa tu wa chama pale moroko ilipita bila kuangalia taa na ingemfumua mlemavu mmoja aliekua akivuka bara bara.
Lile tukio lilinisikitisha mno kwakua chama ndio chenye dhamana ya kusimamia serikali na sio kutumia nafasi hiyo kuvunja sheria.
Tujisahihishe.