Wapate ajali wafe idadi ya watu waovu ipungue nchiniMimi ni mkereketwa wa CCM , mfurukutwa kada kindaki ndaki na mwanachama pia, hii tabia ya magari yanayopeperusha bendera za Chama kuendeshwa hovyo hovyo kwa kasi bila kujali sheria za barabarani haipendezi.
Ipo siku italeta balaa na siku sio nyingi.
Mfano majuzi pale gari moja ya kiongozi mkubwa tu wa chama pale moroko ilipita bila kuangalia taa na ingemfumua mlemavu mmoja aliekua akivuka bara bara.
Lile tukio lilinisikitisha mno kwakua chama ndio chenye dhamana ya kusimamia serikali na sio kutumia nafasi hiyo kuvunja sheria.
Tujisahihishe.
Wangemkanyaga wangehamasishana wavae sare na kwenda kutoa pole pamoja na salamu za mama Samia kwa familia, pia familia ingewekewa kabomba ka maji nyumbani pao.Mimi ni mkereketwa wa CCM , mfurukutwa kada kindaki ndaki na mwanachama pia, hii tabia ya magari yanayopeperusha bendera za Chama kuendeshwa hovyo hovyo kwa kasi bila kujali sheria za barabarani haipendezi...
ccm ni mazuzu wamelewa madarakaMimi ni mkereketwa wa CCM , mfurukutwa kada kindaki ndaki na mwanachama pia, hii tabia ya magari yanayopeperusha bendera za Chama kuendeshwa hovyo hovyo kwa kasi bila kujali sheria za barabarani haipendezi.
Ipo siku italeta balaa na siku sio nyingi.
Mfano majuzi pale gari moja ya kiongozi mkubwa tu wa chama pale moroko ilipita bila kuangalia taa na ingemfumua mlemavu mmoja aliekua akivuka bara bara.
Lile tukio lilinisikitisha mno kwakua chama ndio chenye dhamana ya kusimamia serikali na sio kutumia nafasi hiyo kuvunja sheria.
Tujisahihishe.
Kutoa gongo Keko Mwanga ili ifike Kariakoo ni lazima gari inayobeba iwe na bendera ya ccm ili isiguswe na polisi