Haya maharage ni ya matajiri?

Haya maharage ni ya matajiri?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wakuu

Hivi haya maharage ni ya matajiri?

20250119_145513.jpg

20250119_145733.jpg
 
Yanahitaji pesa kuyanunua, sasa inategemeana kuwa kwako wewe tajiri anatakiwa kuwa na Tsh ngapi ndo awe tajiri.
Fungu sokoni si zaidi ya 1,000. Kama kutoa 1,000 ni utajiri basi yes ni ya matajiri.
 
Yanahitaji pesa kuyanunua, sasa inategemeana kuwa kwako wewe tajiri anatakiwa kuwa na Tsh ngapi ndo awe tajiri.
Fungu sokoni si zaidi ya 1,000. Kama kutoa 1,000 ni utajiri basi yes ni ya matajiri.
Dagaa ni chakula cha kimasikini japo zinahitaji pesa kununua.
 
Yanahitaji pesa kuyanunua, sasa inategemeana kuwa kwako wewe tajiri anatakiwa kuwa na Tsh ngapi ndo awe tajiri.
Fungu sokoni si zaidi ya 1,000. Kama kutoa 1,000 ni utajiri basi yes ni ya matajiri.
Duh hayo yanahitaji pesa gani sasa? Arusha ukienda sokoni na hiyo buku unapata yakutosha.

Labda kama ni bei ghali kanda nyingine.
 
Back
Top Bottom