Haya maisha mazuri sana

Haya maisha mazuri sana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wale wakiofika pale page
Znz beach
Kuna hotels kadhaa

Kuna moja tulienda tulipofika nkajilinda kwanza bia sh ngapi akasema 8000 mnakaa kwenye kagorofa flan

Na chini pia kuna sehemu ya kukaa ukiangakia dinian na uumbaji wa Mungu kwa kila dunia waarabu waafrika kwa wazungu


Wakati naingia nkaona amekaa jamaa mmoja wa kizungu kavaa nguo za ajabu ajabu kama ombaomba

Gafla tukiwa na shemeji yenu akasema inaonekana ahajala

Nkamtuma mdada kamulize anakula nn akasema ahsante

Nkamtuma tena mwambie anakunywa nn akasema safari

Nka wagazia za 16000.....bia 2 wapendwa

Nilipanga kunywa 5 nkasema woi mwache anyway

B mdogo akasemaa n baraka sana jamaa akafunguliwaa bia akanywa ..kabla ya kunywa akaja mezani akatushukuru sanasana

Tukasema ahsante
Tukauliza msosi nkamwambia b mdogo we kula m vyombo vinatosha akasema niko na hela worry out will share bills nkamaambia uwe na amani...

Akaletewa xha wali na masamaki ya kutosha 40000 nkaagiza beer zangu zq mwisho b mdogo akalazimisha nile nkaagiza msosi wa 35000.......

Tukiendelea kula hii n true story from bottom of ma heart. B mdogo akamwagizia yule mzee beer 2 nyingine akapelekewa akasema God bless u all......

Tukaanza story nk akaenda kuchezea maji akarudi....aliporudi yule mdada tukaona anakuja akasema sorry dada bill ya chakula ineshalipwa na yule baba mbele mliemnunulia beer

Nkasemaa no mwambie ahsante tukamhesabia mdada hela akampelekea zile alizotoa

Babu wakiitaliano akajaa kukaa na sisi lugha kwa lugha....hapo tushalipa vinywaji vyoteeee

Akasema ahsanten sana u guys ur so kindness nkasema ahsante

Akarudisha zile hela za vyakula akasema am Mr xxxx owner of this hotel since 8 yrs ago


Nilipata choo cha gafla nkamwambia Mungu nipe kumthamini kila alie mbeleyety bila kujali amevaa nn anaoshije

Mpaka tunaondoka znz bmdogo tunaulizana kumbe unaweza kumsaidia mtu ukakuta umeingia mbinguni kwa baraka za yule m2

Pili
Usimdharau mtu kwa nguo alizovaaa hujui utakutana nae wapi atakusaidia wapi

Usimdharau mtu kwa umrii wakeeè..yule mdada alietusave tulichukua namba zake akasemaaa weekend ndivyoo anavyovqa mpakajpili na akitokea mtu kumnunulia hata bia moja usishangae analipa vyotee....

Mpendane mkiwa hai
Sikwambii uende kule bila hela ukimwona ukabahatika mbariki usisubiri barakazake

Kama una uwezo wa kumbariki mtu mbarikiii
 
Hii ya buku 2 na ya buku 8 ladha ni tofauti? Labda niwe nacheza na ulimwengu wa roho ili nipate ya buku 8
 
Wale wakiofika pale page
Znz beach
Kuna hotels kadhaa

Kuna moja tulienda tulipofika nkajilinda kwanza bia sh ngapi akasema 8000 mnakaa kwenye kagorofa flan

Na chini pia kuna sehemu ya kukaa ukiangakia dinian na uumbaji wa Mungu kwa kila dunia waarabu waafrika kwa wazungu


Wakati naingia nkaona amekaa jamaa mmoja wa kizungu kavaa nguo za ajabu ajabu kama ombaomba

Gafla tukiwa na shemeji yenu akasema inaonekana ahajala

Nkamtuma mdada kamulize anakula nn akasema ahsante

Nkamtuma tena mwambie anakunywa nn akasema safari

Nka wagazia za 16000.....bia 2 wapendwa

Nilipanga kunywa 5 nkasema woi mwache anyway

B mdogo akasemaa n baraka sana jamaa akafunguliwaa bia akanywa ..kabla ya kunywa akaja mezani akatushukuru sanasana

Tukasema ahsante
Tukauliza msosi nkamwambia b mdogo we kula m vyombo vinatosha akasema niko na hela worry out will share bills nkamaambia uwe na amani...

Akaletewa xha wali na masamaki ya kutosha 40000 nkaagiza beer zangu zq mwisho b mdogo akalazimisha nile nkaagiza msosi wa 35000.......

Tukiendelea kula hii n true story from bottom of ma heart. B mdogo akamwagizia yule mzee beer 2 nyingine akapelekewa akasema God bless u all......

Tukaanza story nk akaenda kuchezea maji akarudi....aliporudi yule mdada tukaona anakuja akasema sorry dada bill ya chakula ineshalipwa na yule baba mbele mliemnunulia beer

Nkasemaa no mwambie ahsante tukamhesabia mdada hela akampelekea zile alizotoa

Babu wakiitaliano akajaa kukaa na sisi lugha kwa lugha....hapo tushalipa vinywaji vyoteeee

Akasema ahsanten sana u guys ur so kindness nkasema ahsante

Akarudisha zile hela za vyakula akasema am Mr xxxx owner of this hotel since 8 yrs ago


Nilipata choo cha gafla nkamwambia Mungu nipe kumthamini kila alie mbeleyety bila kujali amevaa nn anaoshije

Mpaka tunaondoka znz bmdogo tunaulizana kumbe unaweza kumsaidia mtu ukakuta umeingia mbinguni kwa baraka za yule m2

Pili
Usimdharau mtu kwa nguo alizovaaa hujui utakutana nae wapi atakusaidia wapi

Usimdharau mtu kwa umrii wakeeè..yule mdada alietusave tulichukua namba zake akasemaaa weekend ndivyoo anavyovqa mpakajpili na akitokea mtu kumnunulia hata bia moja usishangae analipa vyotee....

Mpendane mkiwa hai
Sikwambii uende kule bila hela ukimwona ukabahatika mbariki usisubiri barakazake

Kama una uwezo wa kumbariki mtu mbarikiii
Jamaa anaandika pointless huyu s
Daah
 
Kitambooo kuna mzee alituuliza kijiweni ilipo hotel flani, tukamuelekeza ilipo, lakini yeye akaenda uelekeo tofauti, tukamsimamisha tukamwambia ni hukuu...akatabasamu tu akajibu najua....mimi ndiyo mmiliki nafanya kautafiti wangapi wanaijua hotel yangu ilipo.
 
"u guys ur so kindness"
Screenshot_20241030-201338_Chrome.jpg
 
Kweli kabisa usidharau Maandiko kwamba hayajapangiliwa ki - Sydney Sheldon, Ludlum au hata Shaban Robert..., unaweza ukakosa content ndani... (Context Matter hata kama Content haivutii)

Take the rough with the smooth...
 
Siyo usimdharau usiyemjua, bali usimdharau yeyote
Kama unamjua huenda ana deserve kudharauliwa (thus ushampa benefit of doubt na kufanya due diligence) ingawa nadhani neno sahihi ni kumpuuza..., sababu hata ukimdharau mpuuzi ni kwamba anakupotezea muda (rasilimali muda)
 
Wale wakiofika pale page
Znz beach
Kuna hotels kadhaa

Kuna moja tulienda tulipofika nkajilinda kwanza bia sh ngapi akasema 8000 mnakaa kwenye kagorofa flan

Na chini pia kuna sehemu ya kukaa ukiangakia dinian na uumbaji wa Mungu kwa kila dunia waarabu waafrika kwa wazungu


Wakati naingia nkaona amekaa jamaa mmoja wa kizungu kavaa nguo za ajabu ajabu kama ombaomba

Gafla tukiwa na shemeji yenu akasema inaonekana ahajala

Nkamtuma mdada kamulize anakula nn akasema ahsante

Nkamtuma tena mwambie anakunywa nn akasema safari

Nka wagazia za 16000.....bia 2 wapendwa

Nilipanga kunywa 5 nkasema woi mwache anyway

B mdogo akasemaa n baraka sana jamaa akafunguliwaa bia akanywa ..kabla ya kunywa akaja mezani akatushukuru sanasana

Tukasema ahsante
Tukauliza msosi nkamwambia b mdogo we kula m vyombo vinatosha akasema niko na hela worry out will share bills nkamaambia uwe na amani...

Akaletewa xha wali na masamaki ya kutosha 40000 nkaagiza beer zangu zq mwisho b mdogo akalazimisha nile nkaagiza msosi wa 35000.......

Tukiendelea kula hii n true story from bottom of ma heart. B mdogo akamwagizia yule mzee beer 2 nyingine akapelekewa akasema God bless u all......

Tukaanza story nk akaenda kuchezea maji akarudi....aliporudi yule mdada tukaona anakuja akasema sorry dada bill ya chakula ineshalipwa na yule baba mbele mliemnunulia beer

Nkasemaa no mwambie ahsante tukamhesabia mdada hela akampelekea zile alizotoa

Babu wakiitaliano akajaa kukaa na sisi lugha kwa lugha....hapo tushalipa vinywaji vyoteeee

Akasema ahsanten sana u guys ur so kindness nkasema ahsante

Akarudisha zile hela za vyakula akasema am Mr xxxx owner of this hotel since 8 yrs ago


Nilipata choo cha gafla nkamwambia Mungu nipe kumthamini kila alie mbeleyety bila kujali amevaa nn anaoshije

Mpaka tunaondoka znz bmdogo tunaulizana kumbe unaweza kumsaidia mtu ukakuta umeingia mbinguni kwa baraka za yule m2

Pili
Usimdharau mtu kwa nguo alizovaaa hujui utakutana nae wapi atakusaidia wapi

Usimdharau mtu kwa umrii wakeeè..yule mdada alietusave tulichukua namba zake akasemaaa weekend ndivyoo anavyovqa mpakajpili na akitokea mtu kumnunulia hata bia moja usishangae analipa vyotee....

Mpendane mkiwa hai
Sikwambii uende kule bila hela ukimwona ukabahatika mbariki usisubiri barakazake

Kama una uwezo wa kumbariki mtu mbarikiii
Zanzibar ile ni Nchi nyingine kabisa. Watu wana Mawe na hawana Maneno mengi. Cool calm.
 
Back
Top Bottom