Usituchoshe uagize chakula huko maswali utuulize sisi uliza mpishi kumbafuWakuu,ebu tutoane ushamba kidogo hapa,mara kadhaa nikienda hotel au restaurant kubwa huwa nikiagiza msosi naletewa msosi na hutu tumajani,naomba kuuliza hutu tumajani huwa tunaitwaje na je huwa tunaliwa na mbona huwa havipikwi vinaletwa vibichi?
Watasema ww ni msukumaWakuu,ebu tutoane ushamba kidogo hapa,mara kadhaa nikienda hotel au restaurant kubwa huwa nikiagiza msosi naletewa msosi na hutu tumajani,naomba kuuliza hutu tumajani huwa tunaitwaje na je huwa tunaliwa na mbona huwa havipikwi vinaletwa vibichi?
View attachment 3225883
Kwasababu mboga za majani jinsi unavyokula mbichi ndo zunakuwa na virutubisho. Ndio maana tunashauriwa zikipikwa isiive sana zibaki na ukijani wakeKwa nini huwa havipikwi sasa?
We kula ulivyovizoea mboga za majani mbichi waachie SunguraWakuu,ebu tutoane ushamba kidogo hapa,mara kadhaa nikienda hotel au restaurant kubwa huwa nikiagiza msosi naletewa msosi na hutu tumajani,naomba kuuliza hutu tumajani huwa tunaitwaje na je huwa tunaliwa na mbona huwa havipikwi vinaletwa vibichi?
View attachment 3225883
lettuceWakuu,ebu tutoane ushamba kidogo hapa,mara kadhaa nikienda hotel au restaurant kubwa huwa nikiagiza msosi naletewa msosi na hutu tumajani,naomba kuuliza hutu tumajani huwa tunaitwaje na je huwa tunaliwa na mbona huwa havipikwi vinaletwa vibichi?
View attachment 3225883