Siwatu, Siwema
Mwingine anaitwa Mkejina, habari, neno, sabuni, chausiku
Kwanini Avater Yako Huyo Baba Amemkumbatia Mtoto Halafu Analia Kwa Machungu??
Just Curious Sir
Teh teh si kama mimi Chanaiti niko kwa mamtoni.Sio kweli kuna mdada mmoja nilikua nae enzi za utoto anaitwa Chausku na sasa yupo mamtoni anakula bata, sisi ambao majina yetu yanaashiria utajiri RICH tupo majalala hapa bongo!!
Mtumwa
Acha U-wehu, Hayo ni majina ya Kiswahili.Hivi kuna watu wanaitwa Mwaka Mbaya na Sura Mbaya?
Halafu, hivi hayo majina kama Tabu, Mawazo, na mengineyo ya hivyo mara nyingi huwa ni ya Waislam eeh, au nimekosea?
Kama ni hivyo huwa najiuliza kwa nini....
Mohamed
sikitu, liziki, mwanjaa, mwaka, chausiku, mwanvua, yako mengi tuu.
Kuna jamaa mmoja kamuita mwanaye Harrier...