Haya majina tusiwape newborn (watoto)

Hizi ni ghetto names za US, kuna jamaa mmoja alikuwa anamuita ghetto babeboo kwamba "come one in ghetto Laquisha I got my condom on bae!"

Teh teh
Shamicah, Latasha, Uniqwa,Chacara, Chaquina, Letoya, Leroy afu kuna wabongo wanawaita watoto wao Latoya jama jama jama sijui kama wanaujua ukweli kuhusu haya majina.
 
Nandera umenikumbusha mbali mno alafu wewe sio Nandera nnaemjua kweli?
 
Mwingine anaitwa chuki, mke jina , dharau, sikitu n.k

Yeah,mji nilipopanga mtoto mmoja wa mama mwny-nyumba ana mtoto anaitwa Chuki halafu ni booonge la mdada zuriiiiiiii.But anavoishi anaonesha ana kitu moyoni mwake
 
Naona majina tajwa yameanza kuadimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…