Tysher
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 207
- 76
Masamaki, nyasato, mafuru, nyanchele, nyanyama, nyanjungu, ili kabila liko... Fond of food
Hii sio Mara mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masamaki, nyasato, mafuru, nyanchele, nyanyama, nyanjungu, ili kabila liko... Fond of food
Hivi kuna watu wanaitwa Mwaka Mbaya na Sura Mbaya?
Halafu, hivi hayo majina kama Tabu, Mawazo, na mengineyo ya hivyo mara nyingi huwa ni ya Waislam eeh, au nimekosea?
Kama ni hivyo huwa najiuliza kwa nini....
Ndg wana MM kwa uzoefu nilioupata baada ya kuishi hapa
duniani miongo kadhaa nimegundua kuwa watu wenye majina kama Shida, Tabu, mawazo, siamini, Mwaka mbaya, Sura mbaya, Sikitu, Tatizo na mengine yanayofanana maisha yao huwasumbua sana hivyo
"TUACHE KUWAPA WATOTO MAJINA HAYA" unaweza kutaja na mengine
Mwigulu
Kuna mshkaji alioa mdada anaitwa FITINA.
walishaachana rasmi, dada alikuwa anatoa maneno kwake anapitishia kwa mamake na kumalizia kwa mama mkwe
Ona Lamwai na usomi wake wote anavyohangaika.Ongezea Masumbuko, Tatizo, na Maimuna (ingawa hili sijui hata kwa nini lina negative connotation).
Fikirini, Havinitishi, Havijawa, Chausiku, Zinduna...
Kisaikolojia, majina huwa yanazungumza maneno mengi sana kabla hata mhusika hajazungumza lolote pia jina lina nafasi kubwa ya kuamua hatma ya mwenye jina.
Nilienda kutembelea shule ya sekondari kata moja barabara ya morogoro iringa kabla hujafika mikumi kuna mtoto albino yuko bright sana akaniambia anaitwa HASARA iliniuma sana.