Haya majina ya JF ifike mahala tuwe tunabadilisha

Nawe kaboom ina maana gani?
Mi nahisi kabooom ni mlio unaotokea baada ya kitu fulani! Mfano ajali, kumega dem na kutoka nduki, kula za uso, kuangukia pua nk!
Sasa care should be taken when kaboom is the subject ha ha ha !
 
Mi nahisi kabooom ni mlio unaotokea baada ya kitu fulani! Mfano ajali, kumega dem na kutoka nduki, kula za uso, kuangukia pua nk!
Sasa care should be taken when kaboom is the subject ha ha ha !

Hahahaaaa! Tafadhali jamani unajua unayemuongelea ni mume wangu!! Na ni kaboom kweli nina taabu we acha tu, naona mnakabumuka tu.
 
Mmh basi labda nilibugi kukumention. teh naona umemfuma mumeo anasarandia mtoto mbichii

Yaani hii ni kaboom kweli, yaani siku hizi hata sishangai tena maana nishamfumania weeee hadi imekuwa kama kunywa maji vile, ni sehemu ya maisha yetu.

Unakumbuka aliapa kuwa huu mwaka ameokoka!! Sijui alikuwa anamaanisha kuokoka kupi
 
Yaani hii ni kaboom kweli, yaani siku hizi hata sishangai tena maana nishamfumania weeee hadi imekuwa kama kunywa maji vile, ni sehemu ya maisha yetu.

Unakumbuka aliapa kuwa huu mwaka ameokoka!! Sijui alikuwa anamaanisha kuokoka kupi
Hahaha si anabadilika taratibu taratibu, Rome wasn't built on a day. Mvumilie tu mume wa ujana wako
 
Eeh sijui una undugu na joka la makengeza teh

Ni kipaji maalumu, teh teh teeeeh! We si ulisomea uuguzi.

Hahaha si anabadilika taratibu taratibu, Rome wasn't built on a day. Mvumilie tu mume wa ujana wako

Mmmh!! Kumbe kingreza unakipatapata eeeh? Ukiwa roma fanya km waroma wafanyavyo, sasa yeye mbona yuko kwenye ndoa alafu hafanyi vile wanandoa wanatakiwa kufanya?
 
Ni kipaji maalumu, teh teh teeeeh! We si ulisomea uuguzi.



Mmmh!! Kumbe kingreza unakipatapata eeeh? Ukiwa roma fanya km waroma wafanyavyo, sasa yeye mbona yuko kwenye ndoa alafu hafanyi vile wanandoa wanatakiwa kufanya?
Kwa raha zangu nurse wa zamu

Ndo anaanza kuact kama mwanandoa now
 
Kwa raha zangu nurse wa zamu

Ndo anaanza kuact kama mwanandoa now
Hahahaaa! Mfundishe na baba yako basi jamani maana hali ni tete, mie nimemshindwa nagugumia tu na mtumbo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…